Wanawake Mungu Wa Kweli awahurumie na kuwaokoa, maana mmekuwa mitaji ya manambii Wa uwongo. .......rejea idadi ya waliofariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu aliumbwa na Mungu kwa kutumia udongo. Ushahidi wake upo wazi saana. Angalieni idadi kubwa ya wanawake wajawazito Mara nyingi hupenda kutafuna udongo wawapo katika hali hiyo na wanapokaribia kujifungua huacha. Hii hudhihirisha kuwa udongo ni malighafi muhimu ktk uumbaji Wa kiumbe kipya...
Wivu mwingine hauna hata maana, kama mwanamke ushamtia mimba tayari, na ulifurahi saana siku aliyokwambia Nina mimba. Na unajua kuwa Daktari lazima achunguze afya ya mama mjamzito kwa usalama Wa mama na mtoto aliyepo tumboni. Lakini bado unaona Daktari anafaidi kuingiza mkono. Ukweli ni kwamba...
Awamu hii tutaona mengi, kwangu Mimi Makalla ni kiongozi makini saana tena mwanadiplomasia, yupo makini sana kwenye maamzi yake. Lakini Leo kapigwa chini, daaa hii ni shida!
Desturi yetu ni kuwa 'Mdogo wako akikipenda kitu chako ni vizuri kumwachia'. Hivyo nakushauri umwachie huyo mme, wewe anza kuganga upya naamini Mungu hatokuacha uendelee kuwa mpweke, na ukizingatia una ajira. Na huo ndo upendo kwa Mdogo wako.
Leo hii kuna video ya ngono ina-trendi, ajabu mitandao iliyo mingi imejielekeza kuijadili video hiyo, na kuacha mambo ya msingi. Kama vile kujadili hatima ya Mdude. Lakini pia tukio muhimu la kuagwa kwa mwili wa R. Mengi, mtu muhimu kwa uchumi Wa tz. Tulipaswa tuibue hoja kwa namna gani mwenzetu...
Bunge ni taasisi ambayo ina kiongozi wake (spika), polisi wakimhitaji mbunge yeyote lazima wapate idhini kutoka kwa spika. Ambapo, pia spika atatakiwa kumjulisha mbunge juu ya Kuhitajika kwake polisi. Tabia ya kuviziana haileti Picha nzuri.
Wanaume ebu tukumbushane mwanamke si ndugu, na unapojitoa uhai kisa mgogoro na mke ni kuisaliti nafsi yako pia umewasaliti ndugu zako wa damu. Ebu tuweni na msimamo wanaume na tuuthamini uhai wetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.