Zitto: Nimeshangazwa na kusikitishwa polisi kumkamata Mbunge nje ya Bunge ikiwa ni kinyume cha sheria

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Nimeshangazwa na kushtushwa na kitendo Cha Jeshi la Polisi kumkamata Bunge wa Mbozi ndg. Pascal Haonga nje ya Geti la Bunge bila kuheshimu sheria za nchi yetu. Tabia Hii ilikuwa imeanza kukoma baada ya kukamatwa na Mbunge Godbless Lema wa Arusha Mjini na Tundu Lissu wa Singida Mashariki na kuleta malalamiko makubwa ya Wabunge kwa Spika Job Ndugai.

Baada ya kuwakwepa Polisi mjini Kahama Polisi walitaka kunivizia na kunikamata nje ya Geti la Bunge na tulipojua mtego wao tukamtaka Spika aeleze msimamo wa kisheria, kanuni na utamaduni wa Jumuiya ya Madola Kuhusu Mbunge kukamatwa. Spika Ndugai alitoa maamuzi kuwa kabla ya Mbunge kukamatwa ni lazima ajulishwe kwanza.

Nimeshangaa sana kuwa Polisi wamekiuka maagizo ya Spika na kudharau sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge ambayo inazuia Mbunge kukamatwa wakati shughuli za Bunge zinaendelea. Utamaduni wa Jumuiya ya Madola unasema, nanukuu kwa Kiha

“As there is no privilege, of which the House of Commons have always been, and indeed, ought to be, more jealous, than the security of the persons of the Members, “that they shall be under no undue restraint from being able to attend their duty in Parliament””

Kazi ya Mbunge ni kuwa Bungeni na Wajibu wa Spika ni kuhakikisha hakuna kinachomzuia Mbunge kuwepo Bungeni. Spika Ndugai anapaswa kulieleza Bunge mapema kesho asbh, tarehe 7/5/2019 saa Tatu asbh KAMA ALIRUHUSU MBUNGE HAONGA KUKAMATWA NA POLISI NJE YA GETI LA BUNGE
 
Utasikia mtu anaropoka huko kuwa mambo ya kubembelezana bembelezana na hizo sheria za mabeberu ndio zimetufikisha hapa...... Alas!!!! Am ashamed of all this shit. .......
Haya mambo ya karne ya 17 huko...... nadhani hata akina Mansa Mussa na chief Mkwawa hawakuwa na akili za kionevu kiasi hiki.
 
Utasikia mtu anaropoka huko kuwa mambo ya kubembelezana bembelezana na hizo sheria za mabeberu ndio zimetufikisha hapa...... Alas!!!! Am ashamed of all this shit. .......
Haya mambo ya karne ya 17 huko...... nadhani hata akina Mansa Mussa na chief Mkwawa hawakuwa na akili za kionevu kiasi hiki.
Mkuu huu ni utawala wa King Charles na King Louis XVI ..THE DEVINE RIGHT TO RULE.ABSOLUTE JPM
 
Nimeshangazwa na kushtushwa na kitendo Cha Jeshi la Polisi kumkamata Bunge wa Mbozi ndg. Pascal Haonga nje ya Geti la Bunge bila kuheshimu sheria za nchi yetu. Tabia Hii ilikuwa imeanza kukoma baada ya kukamatwa na Mbunge Godbless Lema wa Arusha Mjini na Tundu Lissu wa Singida Mashariki na kuleta malalamiko makubwa ya Wabunge kwa Spika Job Ndugai.

Baada ya kuwakwepa Polisi mjini Kahama Polisi walitaka kunivizia na kunikamata nje ya Geti la Bunge na tulipojua mtego wao tukamtaka Spika aeleze msimamo wa kisheria, kanuni na utamaduni wa Jumuiya ya Madola Kuhusu Mbunge kukamatwa. Spika Ndugai alitoa maamuzi kuwa kabla ya Mbunge kukamatwa ni lazima ajulishwe kwanza.

Nimeshangaa sana kuwa Polisi wamekiuka maagizo ya Spika na kudharau sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge ambayo inazuia Mbunge kukamatwa wakati shughuli za Bunge zinaendelea. Utamaduni wa Jumuiya ya Madola unasema, nanukuu kwa Kiha

“As there is no privilege, of which the House of Commons have always been, and indeed, ought to be, more jealous, than the security of the persons of the Members, “that they shall be under no undue restraint from being able to attend their duty in Parliament””

Kazi ya Mbunge ni kuwa Bungeni na Wajibu wa Spika ni kuhakikisha hakuna kinachomzuia Mbunge kuwepo Bungeni. Spika Ndugai anapaswa kulieleza Bunge mapema kesho asbh, tarehe 7/5/2019 saa Tatu asbh KAMA ALIRUHUSU MBUNGE HAONGA KUKAMATWA NA POLISI NJE YA GETI LA BUNGE
Anasikitika kukamatwa,aeleze na sababu ya kukamatwa pia
 
Nimeshangazwa na kushtushwa na kitendo Cha Jeshi la Polisi kumkamata Bunge wa Mbozi ndg. Pascal Haonga nje ya Geti la Bunge bila kuheshimu sheria za nchi yetu. Tabia Hii ilikuwa imeanza kukoma baada ya kukamatwa na Mbunge Godbless Lema wa Arusha Mjini na Tundu Lissu wa Singida Mashariki na kuleta malalamiko makubwa ya Wabunge kwa Spika Job Ndugai.

Baada ya kuwakwepa Polisi mjini Kahama Polisi walitaka kunivizia na kunikamata nje ya Geti la Bunge na tulipojua mtego wao tukamtaka Spika aeleze msimamo wa kisheria, kanuni na utamaduni wa Jumuiya ya Madola Kuhusu Mbunge kukamatwa. Spika Ndugai alitoa maamuzi kuwa kabla ya Mbunge kukamatwa ni lazima ajulishwe kwanza.

Nimeshangaa sana kuwa Polisi wamekiuka maagizo ya Spika na kudharau sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge ambayo inazuia Mbunge kukamatwa wakati shughuli za Bunge zinaendelea. Utamaduni wa Jumuiya ya Madola unasema, nanukuu kwa Kiha

“As there is no privilege, of which the House of Commons have always been, and indeed, ought to be, more jealous, than the security of the persons of the Members, “that they shall be under no undue restraint from being able to attend their duty in Parliament””

Kazi ya Mbunge ni kuwa Bungeni na Wajibu wa Spika ni kuhakikisha hakuna kinachomzuia Mbunge kuwepo Bungeni. Spika Ndugai anapaswa kulieleza Bunge mapema kesho asbh, tarehe 7/5/2019 saa Tatu asbh KAMA ALIRUHUSU MBUNGE HAONGA KUKAMATWA NA POLISI NJE YA GETI LA BUNGE
Endelea kushangazwa ndugu Mb!
 
Mbunge akikamatwa na kupelekwa polisi kwa ajili ya mahojiano na kuachiwa, kuna tatizo gani jamani? Ebu tuwe wakweli, hata hili ni kosa?
 
Utamaduni wa Jumuiya ya Madola unasema, nanukuu kwa Kiha

“As there is no privilege, of which the House of Commons have always been, and indeed, ought to be, more jealous, than the security of the persons of the Members, “that they shall be under no undue restraint from being able to attend their duty in Parliament””


Hiki KITABU CHA UTAMADUNI wa jumuiya ya madola sijui kinapatikana wapi...
 
Mbunge akikamatwa na kupelekwa polisi kwa ajili ya mahojiano na kuachiwa, kuna tatizo gani jamani? Ebu tuwe wakweli, hata hili ni kosa?
Bunge ni taasisi ambayo ina kiongozi wake (spika), polisi wakimhitaji mbunge yeyote lazima wapate idhini kutoka kwa spika. Ambapo, pia spika atatakiwa kumjulisha mbunge juu ya Kuhitajika kwake polisi. Tabia ya kuviziana haileti Picha nzuri.
 
Wewe nawe huna kazi za kufanya? muda wote kutuma threads zisizo na kichwa wala mikono kwani hiyo tarehe nini cha ajabu?
 
Nimeshangazwa na kushtushwa na kitendo Cha Jeshi la Polisi kumkamata Bunge wa Mbozi ndg. Pascal Haonga nje ya Geti la Bunge bila kuheshimu sheria za nchi yetu. Tabia Hii ilikuwa imeanza kukoma baada ya kukamatwa na Mbunge Godbless Lema wa Arusha Mjini na Tundu Lissu wa Singida Mashariki na kuleta malalamiko makubwa ya Wabunge kwa Spika Job Ndugai.

Baada ya kuwakwepa Polisi mjini Kahama Polisi walitaka kunivizia na kunikamata nje ya Geti la Bunge na tulipojua mtego wao tukamtaka Spika aeleze msimamo wa kisheria, kanuni na utamaduni wa Jumuiya ya Madola Kuhusu Mbunge kukamatwa. Spika Ndugai alitoa maamuzi kuwa kabla ya Mbunge kukamatwa ni lazima ajulishwe kwanza.

Nimeshangaa sana kuwa Polisi wamekiuka maagizo ya Spika na kudharau sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge ambayo inazuia Mbunge kukamatwa wakati shughuli za Bunge zinaendelea. Utamaduni wa Jumuiya ya Madola unasema, nanukuu kwa Kiha

“As there is no privilege, of which the House of Commons have always been, and indeed, ought to be, more jealous, than the security of the persons of the Members, “that they shall be under no undue restraint from being able to attend their duty in Parliament””

Kazi ya Mbunge ni kuwa Bungeni na Wajibu wa Spika ni kuhakikisha hakuna kinachomzuia Mbunge kuwepo Bungeni. Spika Ndugai anapaswa kulieleza Bunge mapema kesho asbh, tarehe 7/5/2019 saa Tatu asbh KAMA ALIRUHUSU MBUNGE HAONGA KUKAMATWA NA POLISI NJE YA GETI LA BUNGE
ZZK acheni uanaharakati, tulieni tujenge nchi, unachokipigania ili ufaidike na wanao tu haisaidii kitu, ishini kwa kufuata sheria
 
Back
Top Bottom