we jamaa ni muongo,, jana tu umeleta thread kuwa umepotza mapenzi na demu wako n toka mwezi wa 7 umeonana nae mara 1 tu kwenye harusi ya dada ake.....leo kaja kupika na kukusaidia vijikazi.... anyways changamsha genge
wajingawajinga kma wewe mmezoea kuwanyanyasa wadada wa watu simply hawajui haki zao.... mnawageuza viburudisho mkishalizika mnawabwaga.......sio mbaya saaana and uko sawa kabisa and una uhuru wa kumuacha coz sheria haikulazimishi kuoa mtu bila hiari yako ....ila ujuwe tu kwamba kwa vile umeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.