cristela
Senior Member
- Sep 20, 2016
- 138
- 297
Wimbi la vijana wa kileo la kutaka kulelewa na mijimama inaongezeka kwa kasi ya ajabu sana, sijui niseme ni kutokupenda kujiweka bize au vipi. Baadhi ya vijana wanaishia kushinda kwenye vioo kujipodoa sana ili wawavutie mashuga mami, wanaazima nguo, ili tuu wapendeze na ukiwakuta wanavyojisifia utadhani kweli ni wanaume kumbe ni msingi kiuno.
Wanajisifu kwa Congo dust eti wanapiga mzigo kisawasawa kumbe nguvu zenyewe za kiume za kuboost. Hivi inakuaje siku hizi vijana nao wanabana pua? Aisee tusipokua makini tutapoteza nguvu kazi ya vijana hawataki kujituma kutafuta pesa, niwakumbushe tuu sifa ya mwanaume kujituma. Acheni kubana pua na kutegemea kulelewa mjini na mashuga mamii, mwanaume anajisifia kuhonga siyo kujisifia kuhongwa.
Wanajisifu kwa Congo dust eti wanapiga mzigo kisawasawa kumbe nguvu zenyewe za kiume za kuboost. Hivi inakuaje siku hizi vijana nao wanabana pua? Aisee tusipokua makini tutapoteza nguvu kazi ya vijana hawataki kujituma kutafuta pesa, niwakumbushe tuu sifa ya mwanaume kujituma. Acheni kubana pua na kutegemea kulelewa mjini na mashuga mamii, mwanaume anajisifia kuhonga siyo kujisifia kuhongwa.