Recent content by Nyakitagara

  1. Nyakitagara

    Misafara inatutesa hasa wa Rais

    Tupo safarini tunatoka Mbeya tunakaribia kuingia Mikumi tumesimamishwa kwasababu Rais anatoka Ifakara na bado hajatoka huko Ifakara. Viongozi wa Afrika mnatesa watu wenu.
  2. Nyakitagara

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Wapi naweza kupata hsti mafisadi ya louver kama kuna sehemu yanapatikana naomba muongozo.Asante
  3. Nyakitagara

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Mtaalamu hivi hakuna madirisha mengine tofauti na aluminium..Maana naona kama kwa dar yanabana sana hewa.Ukiachana na mbao kwani ni gharama.pia pvc naonba Ushauri wako.
  4. Nyakitagara

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Habari Mkuu,naomba ushauri ya kiwanda kipi cha hapa nyumbani kinatoa tiles nzuri..Au kampuni gani unashauri.
  5. Nyakitagara

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Unataka la kilugha au kiswahili.?
  6. Nyakitagara

    Suala la mipango miji ndo imetushinda kabisa waafrika.

    Inasikitisha,wakati hawa viongozi wakiweka mikakati na kila mtu akafanya kazi yake mafanikio yapo.Rushwa imeua nchi yetu.
  7. Nyakitagara

    Sikio linachimbika : PICHA Msaada mwenye kujua tiba

    Dawa nzuri hiyo ya kupaka imenisaidia hata mimi
  8. Nyakitagara

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Asante kwa elimu,natamani ningekufahamu mapema ungenisaidia sana
  9. Nyakitagara

    Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Wewe ni mwanaume wa kuigwa,Mungu akujalie usibadile hata kidogo.Sikujua men like you exist.
  10. Nyakitagara

    Ungependa kiongozi gani aje Jukwaani kutoa majibu na ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayoendelea nchini?

    Mimi naomba aje Tundu Lisu na Mbowe huwa ni wasema ukweli kwa vitu vikivyojificha maana serikali yetu sikivu haina majibu ina propaganda tu.
  11. Nyakitagara

    COVID 19 iliyotufanya tuwahudumie wapendwa wetu kama wanyama, unapitisha chakula chini ya mlango kukwepa maambukizo. Tunamshukuru Mungu

    Imerudi naumwa kichwa balaa. Mungu anisaidie maana sitaki kuwaambukiza familia yangu.
Back
Top Bottom