Misafara inatutesa hasa wa Rais

Misafara inatutesa hasa wa Rais

Nyakitagara

Member
Joined
Feb 7, 2019
Posts
57
Reaction score
91
Tupo safarini tunatoka Mbeya tunakaribia kuingia Mikumi tumesimamishwa kwasababu Rais anatoka Ifakara na bado hajatoka huko Ifakara.

Viongozi wa Afrika mnatesa watu wenu.
 

Attachments

  • 20240805_133457.jpg
    20240805_133457.jpg
    1.6 MB · Views: 15
Mitano tena kwa mama nipo nae hapa kasema mkimchagua tena atafuta hiyi sheria mtakuwa mnapishana nae mtaan, makofi meng kwake tumpe jaman
 
Anawafanya Watanganyika kama vikaragosi vyake leo nimemsikia akiwaambia watu wapishe miradi itekelezwe kwanza halafu kama kuna watu waliotakiwa kulipwa fidia kupisha miradi ndiyo watalipwa baadaye,hivi kwa tabia ya hawa madhulumati kutakuwa na kulipwa hapo tena!
 
Watafute chopper hata mbili kwa ajili ya viongozi waachane na hizi ghasia.

Uko highway ghafla unasikia king'ora na jamaa wametanua hata hawajali hatari iliyopo mbele yako, unakuta uko eneo ambalo huwezi kutanua.

Waheshimiwa wanapaswa kujua hii miundombinu wanayojenga sio rafiki kwa misafara na matumizi ya public kwa pamoja.
 
Hili jambo kiukweli linakera sana. Nilishawahi kutoa wazo hao watu watafute usafiri wao mbadala! Iwe ardhini, au angani; na hivyo kutuachia barabara zetu.
 
Tupo safarini tunatoka Mbeya tunakaribia kuingia Mikumi tumesimamishwa kwasababu Rais anatoka Ifakara na bado hajatoka huko Ifakara.

Viongozi wa Afrika mnatesa watu wenu.
Panda zako ndege kuepuka huu ujinga
 
Nchi ina upumbavu mwingi sana, majuzi natoka Dodoma nimekuta pale Dumila wameweka jukwaa barabarani na hawana hata wasiwasi!
 
Back
Top Bottom