Recent content by nyakibimbi

  1. N

    Edward Lowassa na Godbless Lema wawasili Bukoba kuwafariji wahanga wa tetemeko

    Mzee ana mvuto huyu jamani tuacha utani nyota inawaka sana hakuna aliyetangaziwa kuwa anakuja lakini watu kibao mpaka mabomu ya machozi .sio siri i like this guy so much God blessing him.
  2. N

    Wabunge wa upinzani wamhofia Dr. Magufuli

    Hoja gani utajibiwa na wakati we mwenyewe hujui ulichokiandika kichwa cha habari tofauti na mada kabisa hatuna muda wa kupoteza nyie ni wale wale vibaraka wa bk 7 na suku hizi mnazipata kwa shida kweli maana mkuu anabana matumizi kweli naomba ujitahidi sana kufanya kazi kwa bidii acha umbea we...
  3. N

    Tukate mzizi wa fitina: Tunda na Lulu nani kisu zaidi?

    Lulu she is very cute .
  4. N

    Mtandao hatari Tanzania unaoisaka Ikulu usiku na mchana

    Mh lowasa lowasa lowasa atawatoa roho aliwakoseaga nini jamani asiogombee uongozi kwa nini huo ufisadi wake wewe uliambulia ngapi maana ulivyoandika utafikiri ulikwepo saa na muda anapora hizo fedha za ufisadi .mhh utachomwa moto siku za mwisho .Mafisadi wameshatumbuliwa karibu wote bado wewe...
  5. N

    Ilikuwaje baada ya kukutana nae Live? Yaani face 2 face..

    Mie nilikutana nae siku hiyo kila moja akamwona mwenzake tofauti na alivyotegemea yaani kila mtu hakuvutiwa na mwenzake issue ikaishia pale pale kila mtu akapita hivi hakuna aliyemtafuta mwenzeke .Swala la mahusiano mtandaoni sio issue wengi ni vioja mno sitaki hata kusikia.
  6. N

    Freeman Mbowe akitema mayai kwenye kikao cha conservative nchini Dernmark

    Wewe hata ukipewa karatasi usome sijui kam a utaweza utatetemeka mikono balaa tena ya kusoma ni shida bora kuongea mwenyewe ilikuwa hujui eh.
  7. N

    Kipindi Mnyama akigawa dozi Shamba la Bibi.. Yanga waendelea kugeuzwa Punching Bag.

    Mh jamani ligi ya Tz mambo ndio kwanza yanaanza ni mapema mno kuropoka tunzeni akiba ya maneno time will tell.
  8. N

    Wema: Nitalipa pesa matibabu ya baba Diamond

    We acha tu kusema wa mama wanateseka sana kuwaachiwa na watoto na wanaume .Unazaa mtoto na mwanaume ukimfuata akupe ingalau hela ya maziwa tu anakujibu sitambui kinyago chako pita hivi tena ukiendelea kunifuata na kuchinja pamoja na kinyaogo chako na hali anajua ni mwanae kabisa akupi hata mia...
  9. N

    Rais Magufuli asema anaweza kubadilisha noti kudhibiti wanaoficha hela...

    Movie ingine hiyi hata kama watu wanazo hizo pesa ndani lakini siamini kama ni hela yetu ya tz .Watu akili zinafanya kazi kama rimoti walishafanya yao kitambo.
  10. N

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Nimeona zote ila ya makaburini imetisha sana hiyo usirudie tena.
  11. N

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Mwanza arejea CCM

    Eti katibu wa chadema ?Aliyekuwa jamani muwe mnaleta habari kamili jamani eti nimeondoka chadema kwa kuwa wanagawana vyeo kama karanga je nae alivyokuwa katibu aligawia kama karanga ?mbona wakati ule asikatae kuwa katibu?tumemsoma alikuwa bado anataka kuwa kionngozi tena pole yake upeo wake...
  12. N

    Dar: Polisi wavamia kikao cha ndani cha Kamati Kuu ya CHADEMA, Meza Kuu yaitwa Polisi na kuachiwa

    Yupo msemaji mmoja tu katika hii dunia na mbingu .Time will tell.
  13. N

    Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema afikishwa mahakama Kuu kanda ya Arusha, apata dhamana

    Kila lenye mwanzo lina mwisho ipo siku maana mungu wa mbinguni anatujua vema kuliko tunavyojijua sisi .
  14. N

    Jambo leo: Muuaji wa Polisi Mbande ajulikana

    Muuaji anajulikana mbona unakurupuka kijana kesi ya mauaji sio mchezo usiandike kitu ambacho huna uhakika nacho usilete uvunjifu wa amani kabisa.
Back
Top Bottom