Ni kweli na si tu hizo bendera,pia wengi wamekua wakidai wanaenda kuhiji kwa maana kwamba kuna nguvu ya kiMungu ndani yao, na baraka tele!!!,lakini ukweli ni kwamba watu wanafikiri Mungu yupo katika baraka za vitu,kwa sasa Yesu yupo mioyoni katika yohana 4:20-27,na pia baraka zitatokea pale...
Na jambo hili unakuta mtu mkiristo na anauongozi kanisani lakini ni mzinzi,ni kwa sababu wachungaji wameacha kukemea dhambi wanaangalia sadaka,nina mifano dhahiri,mtu mkiristo anawake wawili ,binti anaimba kwaya kazaa na mume wa mtu,au anatembea nae badae anaamua kutoa mimba,lkin utakuta...
Tena ukisoma neno toka malaki2:10-17,Mungu hajaweka talaka na ukiona hivo ni kua ibilisi yuko kazini siku zote,na watu wasipomjua Yesu ,waume Kwa wake wa watu watatwaliwa sana tu,kibaya zaidi wanawake kwa mabinti wengi hawachukui mune wa mtu bila kumfanyizia dawa za kiganga,ila roho wa Mungu...
Na kama watu tusipomtafuta kumjua Yesu,kupotea ni lazima,maana katika kitabu cha daniel 12,neno lasema wakati wa mwisho maarifa yataongezeka ambayo ndo kma hayo ya kutengeneza nguo za kamatia chini,ukiuliza wanadai wanaenda na wakati!!!*
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma mathayo 19:1-9,marko10:1-10,kama ukimwacha ukaoa mwingine unazini, utamkosea Mungu na huenda ukafia dhambin na usipate nafasi ya kutubu na kuuona uzima wa milele!!!,hayo ni mambo ya kuvumilia tu,mwombe Kristo Yesu akupatie neema ya kumvunilia mwenza wako!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu kama ameshaolewa ni mke wa mtu,hata kama ameachika maana neno linasema mtu asimwache mke au mume isipokua kama ni shauri ya uzinzi,na atakaye muoa mke aliyeachwa anazini pia na mume akimwacha mke wake akoa mwingine azini pia,so watch out!!!! Huyo mke wa mtu mwambie akavumilie yote maana...
Pole sana kwa yaliyokukuta ,ila ningependa kujujenga katka msingi wa kumjua Yesu wa Nazareth ili akupe nguvu za kusamehe ,kuachilia na kusahau na na ukiangalia uchumba wa Yoseph na maria (mama wa Yesu) hawa walikua wachumba ila baada ya mwanaume kugundua kua mchumba ake ni mjamzito akataka...
Kuna usemi wa kinikolai,kwamba hakuna kizuri kisicho na kasoro,ivi utampata wapi aliye kama malaika na katika kuoa au kuolewa tunatakiwa kuomba Mungu ili atusaidie maana hata adam alipewa bila kuomba na alivomwona Hawa akasema hakika wewe ni nyama kat ya nyama yangu na mfupa kati ya mfupa...
Pia kuna na hili swala la kuoa na kuolewa kwa sababu ya tamaa za macho na mwili,lakini ndoa halisi ya Mungu hutoka kwa mafunuo,tena Mungu husema na wanandoa hao wawili,sio mmoja kama ilivozoeleka sasa mtu anakwambia Mungu amenionesha wew ndio mume/mke wangu na mtu anaamini bila hata ya kuuliza...
Nimewai ona mwimbaji wa kike angela bernad anahojiwa(YouTube), akasema changamoto anayokutana nayo ni pale anapolitaja jina la Yesu ktk wimbo wowote mashabiki wanakua wachache,sasa hapo natambua kua wengi wanajikwaa kwa sababu ya jina tukufu la Yesu huku wakiogopa kupoteza mashabiki lakin si...
Ni kweli tazama warumi12:1-3,neno lasema waziwazi msiige mitindo ya maisha ya ulimwengu huu bali fikra zenu/zetu zigeuzwe sawasawa na yeye aliyetuumba( Yesu), sasa kma mtumish wa Mungu anainjirisha alafu akawa kama watu wa mataifa wasiomjua Mungu anakosea!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano ukimwangalia bikra maria alikua mtakatifu akampendeza Mungu (mpaka akatokewa na malaika gabliel akampatia habari za ujio wa Kristu Yesu na ikawa kweli)baada ya hapo kikazaliwa kitakatifu ambaye ni Yesu sasa kama maandiko yalishatimia na nguvu za Yesu zimedhihilika juu ya ulimwengu ya nini...
Exactly,na ndipo sa waabuduo halisi hawatashutushwa na mahubiri madanganyifu madam roho wa Mungu atawaongoza na hakutakua na ile khali ya kusema njoo yerusalem yupo Mungu wa Kweli au njoo mlimani sinai yupo Yesu mtenda miujiza, Bwana Yesu saidia watu wako wakujue!!!
Sent using Jamii Forums...
Pia suala la Yesu kutembea juu ya maji roho anasema waz kua maana ake ni ishara ya kua wafuasi wake watashinda kila jaribu litakalo tokea juu yao!Yesu atampatia yule anayemwamin apite salama ktk kila jaribu!ubarikiwe taz.yakobo 1:1-12
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.