Huo Ni ujinai tu.Kila mkataba wa usafirishaji una allowable losses almost 0.3% na 0.5% ya ama diesel au petrol so kwa jinsi navojua uwezo wa Tank ya lita 35000 mathalani hiyo lita 300 Ni allowable loss ambayo tajiri anasamehewa na mwenye mzigo.
Huyu jamaa Ni ukorofi tu na kujuana na watu fulani!
Watu watakosea kumchagua Magufuli,Ilhali ni CCM haohao.Na ikitokea CCM wakaingia madarakani,wamuache afanye anayotaka maana mpaka sasa wamemuacha tu na hizo tambo zake za "Serikali ya Magufuli....."
Wasomi wa Tanzania ni wa ajabu sana.Hivi mpaka sasa JK anaweza kukuahidi kitu na ukamuamini??.List ya aliowaharibia future ni ndefu,Anzia kwa Mhongo na taaluma yake alivoondoka kwa aibu wizarani.Jk alikuwa anashindwa nini kuzima hii ishu?.
Ndugulile aliahidiwa nini from udaktari wake south...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.