C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,715
Kupitia taarifa ya habari ya ITV nimekusikia ukisema kuwa serikali ina pesa nyingi kwenye mashangingi, kwenye madini na kwenye "mafuta ya gesi" sasa swali langu nauliza hivi?
nini maana ya mafuta ya gesi? maana mie sijaelewa ati
au kama kuna aliyeelewa naomba anieleweshe maana mie naona nyota nyota tu hapa
wataalamu wa mambo ya mafuta na gesi mkuje huku mnielimishe
nini maana ya mafuta ya gesi? maana mie sijaelewa ati
au kama kuna aliyeelewa naomba anieleweshe maana mie naona nyota nyota tu hapa
wataalamu wa mambo ya mafuta na gesi mkuje huku mnielimishe