Ninauza pia Aparatii na chemicals, nipo Kasulu mkoa wa Kigoma nicheki kesho nikupe kwa bei ya chee, otherwise nenda Salmakona Mwanza utawakuta Waja General hao jamaa wanatisha. Ulizia pia Victoria Bookshop mtaa huo nao wanatisha kweli
Wakati nakatiza mtaa wa Nyachijima, Kijiji cha Kidyama kilichopo Kata ya Kigondo Wilaya ya Kasulu, nimekutana na Mzee KUDONA BALAKUBHA MFUMYA aliyekuwa ametoka kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linaloendelea katika Shule ya Msingi Kidyama.
Kituko, nilipoangalia Kadi yake ya...
Hivi BAVICHA bila kutoa povu siku kwenu haiwezi pita?Siasa za leo ni kushindana kwa hoja, wala siyo uandishi wa Riwaya usio na ushahidi kama unavyo jaribu kuhadaa Watanzania.Zitto hana nyumba hata moja Kasulu, sijui majumba hayo mawili ya kifahari umeoteshwa na Chagadema?
Unatokwa na povu tuu na umejaa ubabaishaji kama uliojaa Chagadema,ziara zote alizofanya mwaka jana unatueleza niza mwaka huu. Miezi mingine hata hatujafika,mbulula kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.