Feedback Interview Tume ya Utumishi wa Mahakama

Feedback Interview Tume ya Utumishi wa Mahakama

Sisi tulivyofanya mara ya kwanza ile.mwaka jana agosti ktk nafas za hr na adm ofcer kwa ajili ya mahakama.kuu za kanda... Tulikuja kuitwa mwaka unaofuata.......

Just imagine frm agost 2014 to mwaka unaofuata....😕

sasa nyie week mbili hoi?????
 
Duuuh basi hiyo noma, tusahau tuu maisha mengine yanaendelea 😦😦
 
Sisi tulivyofanya mara ya kwanza ile.mwaka jana agosti ktk nafas za hr na adm ofcer kwa ajili ya mahakama.kuu za kanda... Tulikuja kuitwa mwaka unaofuata.......

Just imagine frm agost 2014 to mwaka unaofuata....😕

sasa nyie week mbili hoi?????

Kaka umetumaliza kubabeki hapa ni kuchill tuu kuendelea na mambo mengine, hiyo anticipation yao na hr plan yao kiboko
 
Sisi tulivyofanya mara ya kwanza ile.mwaka jana agosti ktk nafas za hr na adm ofcer kwa ajili ya mahakama.kuu za kanda... Tulikuja kuitwa mwaka unaofuata.......

Just imagine frm agost 2014 to mwaka unaofuata....😕

sasa nyie week mbili hoi?????
mkuu usitumie uzoefu uliopitia
majina yametoka leo kwenye magazeti
 
Wana Jamvi leo tumelala kweli,mpaka mda huu majina ya walio itwa kazini Tume ya Utumishi-Mahakama hayaja tupiwa humu.Tupieni hata scanned copies pls!
 
Achen kuwapa wat presure me nmechek hayo magazet yote, hamna ktu chochote
 
achen wat wafanye kaz zngne, majna mpaka Tar 15 mwez huu. me nafanya kaz mahakaman wandugu
 
Back
Top Bottom