Recent content by nyakagwe

  1. nyakagwe

    Nafikiria kumtoa mtoto IFM na kumpeleka chuo cha mifugo; waungwana mnashauri vipi?

    Chuo cha mifugo hapo sawa hata asipoajiliwa atafungua duka La madawa ya mifugo
  2. nyakagwe

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Unaoitwa girlfriend wa AY ft tid Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nyakagwe

    Nimewota Usiku

    Ulikuwa umevimbewa tu sure dalili za malaria
  4. nyakagwe

    Vanessa Mdee aimba Kihindi...

    Muziki mzuri[emoji445]
  5. nyakagwe

    Unawezaje kuhimili pindi unapoachwa na mke au mpenzi wa dhati?

    Kula vizuri, vaa vizuri pendeza, safiri Saana ,Kula bata itaku-refresh
  6. nyakagwe

    Tupia combination ya wasanii Uliyoikubali Bongo Flava enzi za 2000-2008

    Mb dogg ft Madee Sent using Jamii Forums mobile app
  7. nyakagwe

    Kufikia 2020 CCM itakuwa haina hata wabunge 20% bungeni

    Hawa wanaenda kuivuruga ccm
  8. nyakagwe

    Officially nampitisha Harmonize kama msanii bora 2018

    Kila munu ave na kwao
  9. nyakagwe

    Msaada namna ya ku-apply vyuo via online

    Kama unasoma kutafuta vyeti au kwenu mambo safi endelea na HGL yako, ila Kama unasoma uje upate Ajila nenda clinical officer, nursing, I. T, mineral college,Environmental college bwana shamba au mifugo,
  10. nyakagwe

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Download kutumia google au waptric
  11. nyakagwe

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Unaitwa natembea marehemu nenda you tube utaikuta
  12. nyakagwe

    Ushauri kwa huyu mdogo wangu

    Mfungulie Biashara yoyote anayoiweza, au mpeleke CBE au I.T hata hata course za kuuza madawa ya muhimu ya binadamu
Back
Top Bottom