kwetumasoko
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 866
- 510
Wakuu sana,
Naomba kuuliza hivi ni muda ambao mwanaume anatakiwa awe katika urafiki na mwanamke, ndipo aende kujitambulisha na kutoa mahari upande wa mwanamke!
Naomba kuuliza jambo hili!
Naomba kuuliza hivi ni muda ambao mwanaume anatakiwa awe katika urafiki na mwanamke, ndipo aende kujitambulisha na kutoa mahari upande wa mwanamke!
Naomba kuuliza jambo hili!