Habari dada...kwa kweri umenigusa Sana mwanangu WA kike 4yrs now anachangamoto kama hiyo anaweza hesabu 1-10 kwa kingereza na anapont V2 anavyo vitaka hospital wanasema ana tatizo lolote...imepita miaka 11 toka upitie changamoto nayopambana nayo naomba unisaidie ulitatuaje changamoto hiyo
Mkuu acha kupata shida njooo sunbank nikuuzie bati Bora kwa gharama nafuu kuhusu ubora tunazo evidence za project ambazo tumeezeka nazo nyingi Zina 5yrs +
No kupauka
Kabla ujanunua fanya research za izo project
Mfno kwa moja ya project zetu Kati ya nyingi apa dar tumeezeka maktaba kuu ya taifa
Hakuna bati isiyo pauka ila ni mda Gani bati iyo inapauka
Mfano kama bati za sunbank at least ndani ya miaka kumi Kuna uwezekano ikaaza kupauka that why...inatolewa legally warranty ya 10 yrs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.