Recent content by nyahenge

  1. nyahenge

    Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Pongezi kwenu kwa kuwa mstari wa mbele kutuhudumia wananchi. Mungu ni mwema, kwa wale wenye nia mbaya na JamiiForums washindwe kwa nguvu zote na wanyong'onyee kama mkia wa fisi Big up uongozi....JamiiForums
  2. nyahenge

    Serikali itueleze sasa alipo Mkuu wa Majeshi, tuna haki kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya nchi

    Acha kutupotosha bana, watu wanahoji vitu vya msingi wewe unaleta upuuzi wako. kama huna la kuandika kaa kimya na mafunzo yako hayatusaidii.
  3. nyahenge

    CCM kwenda CHADEMA

    Hakika nakupongeza kwa moyo wa dhati kabisa. Karibu tuutimize mpango wa mungu.......naamini wako wengi nyuma yako umewaonyesha njia......karibu mkuu...."salute"
  4. nyahenge

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    WADAU...................... Bravo kwa hii makitu. Thank you for opening my eye...................... bravo bravo chief + wamavoko.
  5. nyahenge

    Bootable Disk.

    pole mkuu, hakika unatakiwa kuwa na cd ya window 7 bootable ili uweze kufanikisha zoezi hilo. kwa kuwa unaweza kuaccess internet na kama unakuwa na bundle la kutosha maana win 7 mara nyingi inaanzia 2. something Gbs. kudownload window 7 nashauri uwe na software kama vuze, utorrent, bit torrent...
  6. nyahenge

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    ni muda si mrefu nimekatiza mitaa ya msikiti wa nunge hapa mjini morogoro na kukuta baadhi ya kikundi vidogovidogo vya waumini nje ya msikiti wakijadili tukio hilo lililomkuta shekh, kwa bahati nimepata kuongea na mtu mmoja nje ya msikiti huo na kukiri kuwa ametoka hospitali kumwona ndugu yake...
  7. nyahenge

    Wakuu wenzangu kuna umuhimu gani wa ku padate bios? Microsoft waniambia ni update bios

    kuupdate bios ni muhimu hasa pale computer yako ikiwa umeadd some new hardwares ambazo huhitaji new updates ambazo zitafanya hardware hizo zifanye kazi pasipo kutoa error messages. lakini hatari yake ni kwamba iwapo ukianza zoezi hilo hakikisha mtandao wako uko stable sana na umeme wa uhakika...
  8. nyahenge

    Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    Jamani hivi huyu jamaa ni mzima kweli? halafu ndiye aitwae mchungaji je wafuasi wake watakuaje? na je akipewa dhamana ya kuongoza nchi hii itakuwaje? ukweli kabisa watu hawa ndio wanaoharibu amani ya nchi hii na kutuvuruga wananchi kwa njaa zao za madaraka.
  9. nyahenge

    CHADEMA wasafirisha miili ya marehemu kwa maziko. Familia yaikataa serikali

    hatupo arusha kimwili lakini tunahuzunika pamoja katika tukio hili la kikatiri lililofanywa na watu wasio na utu. tutaendelea kuchukia matendo yenu ya kupoteza maisha ya watu wasio na hatia. tumeanza na mungu na tutamaliza na mungu. cdm daima
  10. nyahenge

    Chagonja: Ni kweli Bomu, Bastola na SMG vilitumika tukio la Arusha

    tatizo la serikali yetu ni kufanya wananchi ni wale wa enzi zileeeeeeee, wameficha mengi huko mtwara kwa kutoa taarifa zisizo na ukweli kwa yale yanayoendelea huko, sasa wanataka kutoa taarifa tena zisizo za kweli huko arusha, hatima ya mlipuko kanisani hatujui, jamani tumechokaaaaaa, killing...
  11. nyahenge

    Mwanamke: Je, utamjuaje mwanaume anayetaka kukuchezea tu?

    hahahaaa., mapenzi/uhusiano ni mental science the way people perceive one another is the way they either open or close the way towards marriage. Not always people get into r/ship for the case of marriage, consider other factors as comitment, passion and intimancy and therefore not only a man to...
Back
Top Bottom