Recent content by Nus

  1. Nus

    Kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wapo Kenya?

    Ndo wapi huko Mheshimiwa?
  2. Nus

    Namba moja ajimilikisha kijiji cha Ololosokwan, Ngorongoro

    HER EXCELLENCE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.
  3. Nus

    Ongezeko la wafanyabiashara wa vipodozi vya kung'arisha haraka: Uko wapi udhibiti wa Serikali?

    Si mmeambiwa kila mtu atakula kwa urefu wa kwamba yake.
  4. Nus

    Kwanini Tanzania kuvaa nguo fupi inatafsiriwa ni uhuni ama umalaya?

    Biashara Matangazo. Matangazo Biashara.
  5. Nus

    Hivi Wenzangu huwa mnakula vyakula Gani?

    Suluhisho ni kupunguza Kula mara kwa mara au kutokula kabisa.
  6. Nus

    Kwa mambo yanavyoendelea, napata mashaka na kifo cha Hayati Magufuli

    Malizia Mkuu, "Ambaye Dishi Limeyumba".
  7. Nus

    Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

    Pure Maths ya Wapi hiyo mzee? F ^ F = F, Labda kama uta-negate ndo Itakuwa kweli yaani ~(F ^ F) = T. Hata Logical OR haiwezi kubali kuleta iyo kitu, F v F = F.
  8. Nus

    Kusudi la kuwepo duniani ni lipi?

    Arawa. Kusudi ni Kufa.
  9. Nus

    Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Noma mzee. Alafu lawama anarushiwa Pombe badala ya Sanitizers.
  10. Nus

    Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Pombe si Tatizo, Tatizo ni Wanywaji. Pombe nzuri ni ile Fermented, Sio hizo sanitizers (Spirits, Gins).
  11. Nus

    Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Noted. Marufuku kunyea Sahani ya Chakula.
  12. Nus

    Nimechoka kula vyakula vilevile kila siku

    Mapishi ni Sanaa sio Sayansi, Chakula ni matokeo ya Sanaa kama ilivyo Mziki, Hadithi n.k. Epuka kutumia formula za Watu, yafanye kama Sanaa na kuwa mbunifu. Pia Fanya Fasting/Rebooting mara kwa mara kama alivyosema mdau mmoja hapo juu. Binafsi Nakula vitu Simple & Peculiar mfano Ndizi bukoba...
  13. Nus

    Ulaji wa mayai wa mara kwa umara unatanua moyo au kuufanya uende mbio?

    Si kweli. Kula kwa Kiasi, Kila kitu kwa Kiasi. Hakuna kitu chochote kinatanuka wala kuziba, labda useme Ulafi na Uzembe.
Back
Top Bottom