Recent content by Nus

  1. Nus

    Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Hapo ndo ilipo tofauti ya hao (Waasia, waarabu) na Waafrika, Kwao cha familia ni Cha Kwake hata kama wako Mamia kwa maelfu.
  2. Nus

    Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Amna. Ni vile Kijana anataka kuwa na cha Kwake, aweze kufanya anavyotaka.
  3. Nus

    Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Wakati mwingine sio Mzazi anamuacha Mtoto apitie Magumu/atafute chake bali unakuta Mtoto anataka chake (Ubinafsi) & Kujitegemea. Hili Nimelishuhudia mwenyewe, Mzazi anataka kufanya business succession kwa Kijana wake ila Kijana anaona Mzazi wake anamtawala/anambana/anamnyima uhuru wa kufanya...
  4. Nus

    Ongeza Testosterone zako kwaajili ya nguvu na mamlaka ya uanaume wako

    Mazoezi hayo yanapaswa kuwa kiasi kikubwa STRENGTH-BASED, na kidogo ENDURANCE-BASED mfano: Weight Lifting especially Shoulders & legs Exercises, Sprinting. Hapo Nimeona Umejikita zaidi na ENDURANCE-BASED eg. Running.
  5. Nus

    Ukweli Kuhusu Mazoezi na kazi nzito Kwa Watanzania na waafrika wengine kwa ujumla

    Kubeba Zege ni Kazi na Zoezi kwa pamoja Mzee. Kwanini ni Zoezi? Kwasababu inahusisha misuli yote mwilini kuanzia Lower body mpaka Upper Body, ni COMPOUND EXERCISE. Zoezi hili linafanana na FARMER'S WALK EXERCISE, Ogopa sana Zoezi linahusisha Misuli yote alafu Unatembea. Jaribu kubeba Zege...
  6. Nus

    KERO Jinsi Porojo za wanasiasa zinavyoharibu Sekta ya Afya nchini

    Degree zote za Afya Miaka 5 ni TGHS E. Degree zote za Afya Miaka 4 ni TGHS D. Degree zote za Afya Miaka 3 ni TGHS C. Diploma zote za Afya ni TGHS B. Certificate zote za Afya ni TGHS A. Wasiliana na HR wako, akufanyie marekebisho.
  7. Nus

    Hadi sasa CDF anaongoza 1-0

    Anything you can't say NO to is your MASTER and you, its SLAVE. Anayecheza kwenye mfumo wa mwingine ndo Kilaza. JW chini ya CDF wako nje ya majukumu yao kwa Siku 3 mfululizo wanakaa na kulala Barabarani kufanya Majukumu yasiyo ya kwao (majukumu ya Polisi). Masta wa mfumo huu ni Wananchi...
Back
Top Bottom