KCMC ni Taasisi ya hovyo sana, hapo Kuna Nepotism kupita maelezo. Ukiritimba uliopo pale ni wa viwango vya juu.
Hospital ambayo Watendaji kazi wengi ni Interns, Residents na Volunteers (wanaotegemea posho za extra- duty & Night allowance kama malipo yao ambazo ni ndogo). Kila mwaka wanapokea...
Maandamano ya Mitandaoni ni effective strategy,
Kwasababu yanaonesha ku-drain nguvu kazi ya Jeshi la Polisi, Askari wanalazimika kukaa Standby na Doria zisizo na mwisho kwa hofu ya Maandamano yanayotangazwa Mitandaoni. Hii hupelekea Askari wengi kuchoshwa kwa kukosa muda wa Kupumzika sababu ya...
Pure Maths ya Wapi hiyo mzee?
F ^ F = F,
Labda kama uta-negate ndo Itakuwa kweli yaani ~(F ^ F) = T.
Hata Logical OR haiwezi kubali kuleta iyo kitu,
F v F = F.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.