Wakati mwingine sio Mzazi anamuacha Mtoto apitie Magumu/atafute chake bali unakuta Mtoto anataka chake (Ubinafsi) & Kujitegemea.
Hili Nimelishuhudia mwenyewe, Mzazi anataka kufanya business succession kwa Kijana wake ila Kijana anaona Mzazi wake anamtawala/anambana/anamnyima uhuru wa kufanya...
Mazoezi hayo yanapaswa kuwa kiasi kikubwa STRENGTH-BASED, na kidogo ENDURANCE-BASED mfano: Weight Lifting especially Shoulders & legs Exercises, Sprinting.
Hapo Nimeona Umejikita zaidi na ENDURANCE-BASED eg. Running.
Kubeba Zege ni Kazi na Zoezi kwa pamoja Mzee.
Kwanini ni Zoezi? Kwasababu inahusisha misuli yote mwilini kuanzia Lower body mpaka Upper Body, ni COMPOUND EXERCISE.
Zoezi hili linafanana na FARMER'S WALK EXERCISE, Ogopa sana Zoezi linahusisha Misuli yote alafu Unatembea.
Jaribu kubeba Zege...
Degree zote za Afya Miaka 5 ni TGHS E. Degree zote za Afya Miaka 4 ni TGHS D. Degree zote za Afya Miaka 3 ni TGHS C.
Diploma zote za Afya ni TGHS B. Certificate zote za Afya ni TGHS A.
Wasiliana na HR wako, akufanyie marekebisho.
Anything you can't say NO to is your MASTER and you, its SLAVE.
Anayecheza kwenye mfumo wa mwingine ndo Kilaza.
JW chini ya CDF wako nje ya majukumu yao kwa Siku 3 mfululizo wanakaa na kulala Barabarani kufanya Majukumu yasiyo ya kwao (majukumu ya Polisi).
Masta wa mfumo huu ni Wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.