Recent content by Nus

  1. Nus

    JamiiForums Tanzania KERO Viongozi wa hospitali ya rufaa ya kanda KCMC, na serikali ya Tanzania,hamuoni madhira haya kwetu watumishi wenu tunaovuja jasho kila siku?

    KCMC ni Taasisi ya hovyo sana, hapo Kuna Nepotism kupita maelezo. Ukiritimba uliopo pale ni wa viwango vya juu. Hospital ambayo Watendaji kazi wengi ni Interns, Residents na Volunteers (wanaotegemea posho za extra- duty & Night allowance kama malipo yao ambazo ni ndogo). Kila mwaka wanapokea...
  2. Nus

    JamiiForums Tanzania Haya maandamano mnayofanya hapa Watanzania nawaambieni yana matokeo makubwa zaidi kuliko yale ya mtaani

    Maandamano ya Mitandaoni ni effective strategy, Kwasababu yanaonesha ku-drain nguvu kazi ya Jeshi la Polisi, Askari wanalazimika kukaa Standby na Doria zisizo na mwisho kwa hofu ya Maandamano yanayotangazwa Mitandaoni. Hii hupelekea Askari wengi kuchoshwa kwa kukosa muda wa Kupumzika sababu ya...
  3. Nus

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wapo Kenya?

    Ndo wapi huko Mheshimiwa?
  4. Nus

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Namba moja ajimilikisha kijiji cha Ololosokwan, Ngorongoro

    HER EXCELLENCE THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.
  5. Nus

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la wafanyabiashara wa vipodozi vya kung'arisha haraka: Uko wapi udhibiti wa Serikali?

    Si mmeambiwa kila mtu atakula kwa urefu wa kwamba yake.
  6. Nus

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania kuvaa nguo fupi inatafsiriwa ni uhuni ama umalaya?

    Biashara Matangazo. Matangazo Biashara.
  7. Nus

    JamiiForums Tanzania Hivi Wenzangu huwa mnakula vyakula Gani?

    Suluhisho ni kupunguza Kula mara kwa mara au kutokula kabisa.
  8. Nus

    JamiiForums Tanzania Kwa mambo yanavyoendelea, napata mashaka na kifo cha Hayati Magufuli

    Malizia Mkuu, "Ambaye Dishi Limeyumba".
  9. Nus

    JamiiForums Tanzania Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

    Pure Maths ya Wapi hiyo mzee? F ^ F = F, Labda kama uta-negate ndo Itakuwa kweli yaani ~(F ^ F) = T. Hata Logical OR haiwezi kubali kuleta iyo kitu, F v F = F.
  10. Nus

    JamiiForums Tanzania Kusudi la kuwepo duniani ni lipi?

    Arawa. Kusudi ni Kufa.
  11. Nus

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Mchawi ni Wewe. Uchawi ni Fikra zako.
  12. Nus

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Noma mzee. Alafu lawama anarushiwa Pombe badala ya Sanitizers.
  13. Nus

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Pombe si Tatizo, Tatizo ni Wanywaji. Pombe nzuri ni ile Fermented, Sio hizo sanitizers (Spirits, Gins).
  14. Nus

    JamiiForums Tanzania Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Noted. Marufuku kunyea Sahani ya Chakula.
Back
Top Bottom