Halafu mwigulu anazungumza ujinga bungeni embu nenda hai ukajionee lami kila kona weee kajenge jimbo lako muuache mbowe keshakuacha mbali sana kimaendeleo kwenye jimbo wewe wananchi wako maji hawana barabara tabu badala muda mchache unaupata uombe maendeleo kwako ,unaanza kuangaika na wabunge...
Ni kosa kubwa kumwita mbowe mnafiki kwa jambo usilolijua wewe unahuhakika gani na sms aliisoma mwigulu?sikia hizo ni propoganda tu za zitto na mwigulu ,hazitusumbui kabisa chadema ,pia elewa lillani ni mwanamke mwenye hekima sana na busara pia kwa hiyo kwa kutuma hii picha huku hutoivunja hii...
Jamani kuna wanavunja amri ya sita kama wabunge wa ccm?Mwigulu alifumaniwa?wengine wengi tunawafahamu ,ni hivi si kweli alichokisoma kwenye simu Mwigulu ni uongo ana uhakika gani na hiyo sms?zitto ni mshikaji wa mwigulu hilo tunalifahamu sana kumchamfua mbowe ni ishu ngumu tumieni akili nyingine...
Mwigulu asiyemjua nani?huo ni uongo tu ile ni sms kasoma katumiwa ana uhakika gani na hiyo sms aliiyosoma nimemwona na kumsikiliza wakati akizungumza ,huyu ni mshikaji wa zitto na alichofanya kaelekezwa na zitto ili kumchafua mbowe ila wengi wetu ni waelewa
Watasuthubutu kuimbia nambari wani ni ccm ,wajaribu waone kitu watanzania watawafanya 2015 mbali sana tunawaonesha 2014 kwenye chaguzi za serikali za mitaa
Maoni yangu kwenye Rasimu ya katiba Wabunge wa viti maalum,wanapopitishwa kwenye vyama vyao ,baada ya vyama kuwapitisha warudi majimboni au mikoani ili kupigiwa kura na wanawake walioko ktk majimbo yao ,kwani wanapochaguliwa na vyama hawawaheshimu wanawake kwenye majimbo ,ila wakichaguliwa na...
wapigwe tu wakikahidi na watapigwa du ingekuwa kspigwa kwenye mkutano wa Cdm ungesikia wamemua wenyewe Mh Jk mbona kasema nchi ni shwari jamaa juzi msasani kamwagiwa tindikali leo mwingine kapigwa risasi haya
Ilikuwa arusha kata ya kaloleni uwanja wa kampala coach kachemka namnukuhu kidumu chama cha mapinduzi wenzie wakamwitikia kidumu akaendelea hakuna chama chenye mafisadi wengi kama chama cha mapinduzi !ghafla magamba wenzie wakamshusha jukwaani wabishe tumerekodi
Kwa mara ya kwanza napiga hodi kwa wenyeji humu jf. Mara nyingi nimekuwa nachungulia kama mgeni lakini nimeona ni bora nijiunge pamoja nanyi ili tuchangie pamoja mawazo yetu kwa manufaa yetu sote. Naamini ya kuwa nitashirikiana nanyi kwa pamoja ili jf iende mbele vile inatakiwa kuwa. Ahsante na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.