Recent content by NTUZU star

  1. N

    VIDEO: Rais Kikwete azindua Uwanja wa Ndege za kivita Morogoro; Mkuu wa Majeshi ahudhuria

    Chadema ni sanaa,mbwembwe na uchzi kuanzia viongozi hadi wafuasi,inshort wote wana mental retardation. Hivi inakuweje chama kuongozwa na MR leaders wny mawazo yakupga deal kila kuchwao jamani?ni heri ukoswe mali kuliko akili,msondo ngoma walisema katka moja ya tungo zao...
  2. N

    Tupia meseji maalumu kwa alieachwa na mpenzi wake ili iweze kumfariji na kumpa amani

    Kubali matokeo na upge moyo konde kw vl hzo ndo taratbu za maisha,hakunaga jpya chini ya jua,mwnzako nmetoswa na mchumba tena nliezaa nae,nlfarijika na mcmao wa rais wa urusi alyeachagua moja kati ya mke ama maisha ma maslahi ya warusi kwa ujumla. Tulza bori utapata m2 atakaekuonysha...
  3. N

    Kuna nini TANROAD Mkoa wa Ruvuma?

    Hilo nalo ni wazo mdau,hawa jamaa sijui lini watajakuwa serious nakuacha nepotism,ahsnte sn.
  4. N

    Kuna nini TANROAD Mkoa wa Ruvuma?

    Ndg wana JF na wasakatonge wnzng wa ajira, miezi miwili ilopta TANROAD Songea walitangaza nafasi za kazi ikiwemo shift-Incharge. Chakushangaza hadi leo sijapata simu wala taarifa yeyote ya mchakato,naombeni msaada wenu ili nijue wapi pakupata nauli. Asante.
  5. N

    Naombeni ushirikiano wenu wadau:

    Poleni na pilika za wiki jana,hatmae tena leo ni wiki mpya muhimu sana kwa watz wnzng kutimza haki yao ya musingi, naomba msaada wenu wanajamvi wnzng tuloomba nafasi za kazi tanroads mkoa wa Ruvuma(songea),zilikuwa nafasi tofauti zikiwemo weighbridge shft-incharge,yapata miezi...
  6. N

    Kuitwa kazini Utumishi, Oktoba 2015

    Hongera zao wote watakaobahatika kuwa kwnye msafara huo,binafc nshakata tamaa na online aplications,bora kuhangaika na utumishi wa uma pkee,vipi zile nafasi za tanroads ruvuma jamani,washatoa majina ya interview?naomba msaada.
  7. N

    Dr. Pombe Magufuli, ashindwa kutokea kwenye Mdahalo wa Urais wa Tanzania

    Hivi leo, lowasa angejibu nn jamani?ama ndo angelpanic nahatmae yale mambo y2 ya geita cku zleeeeee,....anazdiwa hata na hcho kimama na chief lutayosa,hata lungwe ni bora mara mia kwa lowasa.
  8. N

    Dr. Pombe Magufuli, ashindwa kutokea kwenye Mdahalo wa Urais wa Tanzania

    Magufuli atashrikije wkt kilaza na kibonzo chake haypo amekacha kwa kuhofia maswali nakucmama kw mda mrefu! Ni aibu kbw sn kuzdiwa hadi na mugwila,ni wazi kujirudia kwa kile kituko cha mbowe 2005 alvyohadaaga watz kuwa anaowapga kura lukuki polisi,walimu,magereza nawatumishi wengi wa uma,hatmae...
  9. N

    Dr. Pombe Magufuli, ashindwa kutokea kwenye Mdahalo wa Urais wa Tanzania

    Hivi leo, lowasa angejibu nn jamani?ama ndo angelpanic nahatmae yale mambo y2 ya geita cku zleeeeee,....anazdiwa hata na hcho kimama na chief lutayosa,hata lungwe ni bora mara mia kwa lowasa.
  10. N

    Yafahamu magari yaliyotumiwa na hayati baba wa Taifa Mwl Nyerere

    Mboona mmezsahau landrover 109 alokuwa akfanyia ziara mikoani? Pia aliwaitumia nissan patrol saloon TD-42 nyeupe na sticker nyekundu,alionekana nayo 1996 mwanza ikulu ndogo ya capripoint kwny musiba wa ajari ya mv-bukoba,nlkuwa darasa la nne enzi hizo.gari hiyo pia ndo iltumika kumsafirisha toka...
  11. N

    Kwanini ROMBO ipo TANZANIA badala ya kuwa KENYA?

    Hyu mleta ni muongo na mwenda wazimu,kama ni hvy kwnn wakenya wanasumbuana na uhamiaji kila kuwarejesha kwao,kwny zoezi la BVR walikuwa wanafoji kuandkwa ili waesabike watz,kila kitu wanategemea tz,mochwari,matibabu,chakula,maji safi hadi kushangaa lami nzuri ya tz,mie nipo mashati.
  12. N

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Hahaaaa! Vjn wa lowasa wana mental retardation kama kikongwe yao,unatgemea tz ianike taarifa zake za kjeshi hadharani,jaribuni kuwa mnatumia vyema bongo zenu ili majbu mengne mjipatie wnyw,musiwe na fikra fupifupi kama wapga debe wa kikongwe wenu,muendako mtawakana hata wazazi wenu sbb...
  13. N

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Hivi kmbe hyu mzee mganga wa jadi wa ccm ndo zero khvy jamani?
  14. N

    Lowassa kustaafu siasa

    Naomba msaada wa numbr za cm za watoto wa lowasa kwa mdau yyte alyenazo niseme nao kwa busara endapo kama walibariki uzezeta anaofanya baba yao,ama pengne hanao hata watoto?.
  15. N

    Lowassa kustaafu siasa

    Nyie wafuasi wa ukawa mnastahili kwnda pumzshwa irente,lutindi na milembe walau miaka mitano,hv kwl na elimu zenu mnashkwa mackio na mbowe,mbatia,lowasa na sumae kwl ndg zng?vjn wa tz bdo kweikwei,nanyie wahitimu wa sekuco na patandi mko wapi msaidie hawa wateja wenu?ni vyema vjn tuungane na...
Back
Top Bottom