mtageaugustine
Member
- Jan 12, 2015
- 67
- 60
Well said broh
Ila watto wa MASIKINI tunateseka sana kuona vitu kama ivo
Mimi nacho weza kuwashauri watu wakiona kazi zinatangazwa utumishi wasiache kuomba, ila nijitihada za mtu kusoma na kuwin kwenye hiyo interview, Utumishi haimpendelei mtu u people, mimi ni product ya utumishi, at first na mimi nilikuwa nafanya interview nakosa lakini sikukata tamaa. Ila kama watu wengine walivyosema hapo juu, ukiona umeitwa utumishi na umefikia level ya oral interview hata kama ulikosa kazi kwenye hiyo uliomba, ikitokea nyingine ambayo inafanana na hiyo wale watu watakuita kazini, trust me, kwasababu majina wanakuwa wanahifadhi kwenye database yao. Ushauri wangu ni kwamba watu ombeni kazi bila kuchoka one day mtatoka tuu, hamna longolongo utumishi, mi sikumjua mtu pale lakini mwisho wa siku kazi nilipata.