Namaana zawadi yoyote kulingana na kipato chako. Kama unapokea 400,000/= huwezi shindwa kwa mwezi kutumia hata 15,000/= kwa ajili ya mkeo/mpenzio.
Na kama unapokea 200,000/= kwa mwezi huwezi shindwa hata 5,000/= kwa ajili ya mkeo. Tumia akili kwenye hili.
Kuhusu Uwanjani si lazima, la msingi...