Recent content by ntunga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji TV screen za kukodi kwa siku moja, Inches 46 au 52

    Niko DSM! ukinikodisha utazileta mpaka eneo la tukio kwenye tamasha na kama itawezekana utazisimamia mpaka mwisho na kuondoka nazo, au utaziacha na utazifuata!!! Budget!! KIla moja nitakulipa 140,000/=
  2. N

    JamiiForums Tanzania Nahitaji TV screen za kukodi kwa siku moja, Inches 46 au 52

    Nahitaji mbili tu! Mwenye nazo ani-PM, kumbuka ziwe na stand.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Fundi wa Servicing Air Condition (A.C) anahitajika

    Natafuta fundi mwenye ujuzi na uzoefu wa kufanya services AIR CONDITION; malipo kila A.C moja itakuwa 10,000/= for both indoor and outdoor. PM your number and i will call you.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    Namba yako ya simu please!!!! ili unitumie na picha zake!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    habari tena wana jamnvi. mpaka sasa nimefanikiwa kuchukua gari Mbili. Ningeomba wale wenye magari usisahau kuweka 1. Picha ya gari (reg number ionekane), 2. Bei ya gari. 3. Details muhimu (imetembea km ngapi, model gani, umeiingiza inchini) 4. Namba zako za simu.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    namba yako ya simu please ili nikupigie kwa ajili ya kuiona na kuichukua.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    Weka namba yako ya simu, nije kuiona na ikiwezekana kuichukua hiyo gari.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    namba ya simu please
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    weka namba ya simu nikupigie
  10. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    weka namba ya simu
  11. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    Nipe namba yako nikupigie!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Nanunua magari yenye thamani isiyozidi milion saba

    Wana jamii forums, ninanunua magari kwa thamani isiyozidi milion saba (7Mil). Yeyote mwenye gari aina yoyote tuwasiliane. Namba za gari ziwe namba B au C au D. Mwenye gari namba A nitanunua kwa thamani isiyozidi 4.5Milion kutegemea na aina ya gari na uimara wake.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Freeman Mbowe

    Rai kwa wajumbe wampya wa mkutano mkuu wa CHADEMA: Najua CCM watawafuata kwa lengo la kuwalubuni, jaribuni kuangalia yaliyowakuta wenzenu kwa jicho la ziada, msipoangalia mtaishia kushikwa mkono na mwenyekiti wa CCM. Endapo mipango yote ya kiovu aliyokuwa anaipanga ZZK, Dr. Kitila na Mwigamba...
  14. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wale walio kwenye mahusiano tu

    Namaana zawadi yoyote kulingana na kipato chako. Kama unapokea 400,000/= huwezi shindwa kwa mwezi kutumia hata 15,000/= kwa ajili ya mkeo/mpenzio. Na kama unapokea 200,000/= kwa mwezi huwezi shindwa hata 5,000/= kwa ajili ya mkeo. Tumia akili kwenye hili. Kuhusu Uwanjani si lazima, la msingi...
  15. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wale walio kwenye mahusiano tu

    Mapenzi ya kweli ni kuvumiliana mkielewa ni vigumu watu wawili kuwa na idealogy sawa mtatofautiana tu, huo utofauti uvumilie kwa mwenzako ilihali ukielewa kuna vitu vingi na yeye anakuvumilia. Nini mwanamke anahitaji katika mapenzi 1. Kuthaminiwa na kupendwa. 2. Umjali kwa vitu vidogo vidogo...
Back
Top Bottom