Rai kwa wajumbe wampya wa mkutano mkuu wa CHADEMA:
Najua CCM watawafuata kwa lengo la kuwalubuni, jaribuni kuangalia yaliyowakuta wenzenu kwa jicho la ziada, msipoangalia mtaishia kushikwa mkono na mwenyekiti wa CCM.
Endapo mipango yote ya kiovu aliyokuwa anaipanga ZZK, Dr. Kitila na Mwigamba iligundulika watashindwa kukukamata wewe?
Waswahili husema kama tinga tinga limeshindwa kubomoa nyumba! vipi pikipiki itaweza?
Naombeni mnaotarajiwa kuhongwa na kurubuniwa mtafakari hayo.
CHADEMA ina secret committee ambayo hata uwe mjumbe wa mkutano mkuu hautawajua ni watu gani, inaweza kuwa hata ndugu yako akawa anakuchunguza haujua.
Na si kila aliye kwenye intellijensia ya CHADEMA yuko CHADEMA kuna wengine wako CCM.
Ninachoamini taarifa zako tu zikifika kwa mh. Mbowe unapigwa chini fasta.
Kuweni makini fanyeni kazi kwa uangalifu wa hali ya juu.
Najua CCM watawafuata kwa lengo la kuwalubuni, jaribuni kuangalia yaliyowakuta wenzenu kwa jicho la ziada, msipoangalia mtaishia kushikwa mkono na mwenyekiti wa CCM.
Endapo mipango yote ya kiovu aliyokuwa anaipanga ZZK, Dr. Kitila na Mwigamba iligundulika watashindwa kukukamata wewe?
Waswahili husema kama tinga tinga limeshindwa kubomoa nyumba! vipi pikipiki itaweza?
Naombeni mnaotarajiwa kuhongwa na kurubuniwa mtafakari hayo.
CHADEMA ina secret committee ambayo hata uwe mjumbe wa mkutano mkuu hautawajua ni watu gani, inaweza kuwa hata ndugu yako akawa anakuchunguza haujua.
Na si kila aliye kwenye intellijensia ya CHADEMA yuko CHADEMA kuna wengine wako CCM.
Ninachoamini taarifa zako tu zikifika kwa mh. Mbowe unapigwa chini fasta.
Kuweni makini fanyeni kazi kwa uangalifu wa hali ya juu.