Mmmh, sijakuelewa kabisa! Kwani kama sijakosea watu walioko vyama vya upinzani wengi wao wametokea CCM; hao kina Mbowe, Slaa, Mbatia pamoja na wengineo wote unaowajua, walikuwa CCM, na tangia waondoke CCM bado CCM haijafa. Hivyo, hebu nenda kajipange na kafikirie upya hiyo hoja yako!