Duuu tumia busara ya hali ya juu ,kuwa mvumilivu sana moyon mwako ,ila mwonyeshe SMS zake na mwambie afungashe zake bila kumpiga wala nn maana ,ukisema umpige utaua ,kwa mm ninavyo jua hasira za maumivu ya kugongewa mke duuu inauma sana wakuuu wangu, nimejisikia kama vile mm nimefanyiwa hivyo...