Wana jf asalaam aleikum.
Naomba ujumbe huu umfikie Mhe rais wetu kipenzi naomba nikushauri kugawa keki ya Mkopo bila kubagua mtanzania Kwa rangi Yake,kipato chake,wala kabila lake.
Nimekusikia Jana ukiongea Na wanafunzi wetu wa SUA binafsi sijaona sababu mahususi inayoweza kupelekea Mikopo ya...
Mwqnamke ni anafananishwa Na maziwa yakiingiwa Na uchafu mwaga hakuna kunywa maziwa yenye uchafu weye. We piga chini utazoea kisha tulia tafuta mwanamke mwingine umwoe usijaribu kufanya tendo kabla ya kumwoa heshima itakuwepo
Lakin Na watanzania mpunguze uvivu, unamkuta mtu kapewa Kazi kiroho safi lkn nenda kapate Huduma kwake ya hivyo, rushwa Nje nje , dharau Kwa wateja wake kibao! Ebu badilikeni tujenge Nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.