Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Kwenye uvulana nimepita, nina 27 yeye ana 24
Unajua kuna watu mnakua miaka tu lakini ubongo unabaki nyuma? unalitambua hilo?

Imagine mwanaume ambaye kasomeshwa kwa taabu na wazazi wake, akapata ajira nzuri na kipato kizuri tu anaweza kukaa anaumizwa na kibinti mshenzi kiuza kumma cha night club kweli!?

Akaacha kuwekeza hizo hela anazochezea kwa malaya wanaojiuza, afungue miradi yake midogo midogo ya kilimo au ufugaji akaisimamia akaingiza kipato chake zaidi akashirikiana na wazazi wake kuwawezesha na wao wakaendesha hata mradi wa kufuga ng'ombe tu, au mabwawa ya samaki wakapata chochote wajikwamue na maisha badala yake ahonge malaya tu kwa faida gani hasa?!!!!

Wapo watu wanakuwa wanaume kwa maana ya miaka tu ila kiakili wanabaki kuwa wavulana.


Imagine unakaa bar na malaya wako unamsubiria akat0mbwe na mzee ili arudi ghetto kwako na ww uloweke hapo hapo kwa kigezo cha kwamba eti unampenda sana hadi unaumia!!!!!!!!!


Nina imani kwa michango unayoipata kwa wana jf utabadilika sana. Kumbuka Mungu hakupi mara mbili mbili.
 
Mwqnamke ni anafananishwa Na maziwa yakiingiwa Na uchafu mwaga hakuna kunywa maziwa yenye uchafu weye. We piga chini utazoea kisha tulia tafuta mwanamke mwingine umwoe usijaribu kufanya tendo kabla ya kumwoa heshima itakuwepo
 
Pole.muache move on!
Mimi bana mawasiliano na ex uzungu huo sina!any constant communication na ex wake italeta timbwili bayana ikibidi atachagua ex au mimi!
mi mwenyewe siawasiliani nao japo wako wengi wakishikana mikono wanafika mlandizi..yeye kasahau nini huko hadi kutwa wanatumiana picha na kurushana mitandaoni??mahusiano ya hivyo YANAKOSA HESHIMA!
 
Uamuz wa maisha yako unao ww sema tu hujakaa ukaufanyia kazi
 
Songa mbele Mzee baba. acha kujilazimisha unampenda utakufa wakati sio wako kwa mambo ya kijinga.

Jifunze mwache aende zake.Tafuta mpya pesa si unazo mzee mwezangu watakuja tu wengine tena itapendeza likizo moja ukaenda mbali na Mwanza kutuliza akili.
 
Unajua kuna watu mnakua miaka tu lakini ubongo unabaki nyuma? unalitambua hilo?

Imagine mwanaume ambaye kasomeshwa kwa taabu na wazazi wake, akapata ajira nzuri na kipato kizuri tu anaweza kukaa anaumizwa na kibinti mshenzi kiuza kumma cha night club kweli!?

Akaacha kuwekeza hizo hela anazochezea kwa malaya wanaojiuza, afungue miradi yake midogo midogo ya kilimo au ufugaji akaisimamia akaingiza kipato chake zaidi akashirikiana na wazazi wake kuwawezesha na wao wakaendesha hata mradi wa kufuga ng'ombe tu, au mabwawa ya samaki wakapata chochote wajikwamue na maisha badala yake ahonge malaya tu kwa faida gani hasa?!!!!

Wapo watu wanakuwa wanaume kwa maana ya miaka tu ila kiakili wanabaki kuwa wavulana.


Imagine unakaa bar na malaya wako unamsubiria akat0mbwe na mzee ili arudi ghetto kwako na ww uloweke hapo hapo kwa kigezo cha kwamba eti unampenda sana hadi unaumia!!!!!!!!!


Nina imani kwa michango unayoipata kwa wana jf utabadilika sana. Kumbuka Mungu hakupi mara mbili mbili.
Asante sana
 
Songa mbele Mzee baba. acha kujilazimisha unampenda utakufa wakati sio wako kwa mambo ya kijinga.

Jifunze mwache aende zake.Tafuta mpya pesa si unazo mzee mwezangu watakuja tu wengine tena itapendeza likizo moja ukaenda mbali na Mwanza kutuliza akili.
Asante kwa ushauri Kaka
 
Mkuu acha uboya Na ufala wa kijinga, Utakuja kufa wewe kuna watu wengine uvumilivu huwa zero watakupiga Shaba. Endelea na maisha yako mrudie Mola anza kwenda kwenye ibada. Akiri yako itakaa vizuri tu. Na maisha yatakua murua it's just a matter of time
 
Habari zenu ndugu zangu, matumaini yangu ya wazi kuwa hamjambo na mnaendelea na harakati za kulisukuma gurudumu la Maisha.

Kwa upande wangu weekend ya leo haijakaa sawa, nahisi kuchanganyika, Presha sio presha, kuumwa sio kuumwa, yaani kwa ujumla hali ni mbaya.

Nikianza na mkasa wangu huu wa mapenzi ambao umenitokea kati yangu mimi na mpenzi wangu ambaye kiukweli nilitokea kumpenda sana na kushindwa kujizuia.

Awali nilikuwa naishi Dsm sema nikaamishwa kikazi kwenda Mwanza, kazi yangu ni nzuri na kama kijana nimeweza kumudu kupanga nyumba nzuri na kausafiri ka kutembelea.

Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 9 mwaka Jana ndio nilikutana na huyu mwanamke kwenye klabu moja hivi jijini Mwanza. Hakika nilitokea kumpenda. Safari ya mahusiano ikaanzia hapo.

Kumbe historia ya huyu Crush wangu haikuwa nzuri hasa kutokana na background yake ya watu aliotoka nao kipindi cha nyuma, watoto wa mjini wanasema MDANGAJI.

Ama kweli mapenzi upofu ndio naamini, licha ya kufikishiwa habari zake lakini binafsi sikuzitilia maanani sana, nilijisemea moyoni kwamba nitamrekebisha aje kuwa Mama watoto wangu.

Kwa ufupi kwenye mahusiano yetu ya kipindi cha miezi 6 tumepitia katika changamoto nyingi sana, tumewahi kuachana na kurudiana zaidi ya mara tano. Chanzo kikubwa cha kugombana kwetu ni huyu mwanamke kuendekeza sana starehe. Ikifika weekend kama ya leo ni lazima mtoke.

Hata Kama nikimshauri tusitoke basi atatumia mbinu yeyote atoke kisha arudi asubuhi anigongee au arudi Kulala nyumbani kwake, mbaya zaidi kichwa cha pombe hana.

Tatizo lingine ni kuendeleza mawasiliano na ex's zake, nimefumania text za whatsapp na kawaida akichart na ma-ex wake. Nilikuwa nikijaribu kumwambia abadilike anaacha kwa muda kisha anaendelea. Mbaya zaidi kwny simu niliyomnunulia.

Nakumbuka siku moja tulitoka club ukazuka ugomvi baina yetu ambao ulipelekea nimtembezee kipigo cha mbwa koko. Kipindi hicho alikuwa hajapata kazi. Kila kitu nilikuwa najitaidi kumuhudumia ukiacha kodi ya nyumba aliyokuwa akilipa mwenyewe.

Baada ya ugomvi huu uliopelekea akae ndani wiki nzima kutokana na majeraha ulimpelekea aka-abort mimba yangu ya mwezi mmoja. Penzi likavunjika na kila mtu akachukua time zake.

Ukapita mwezi m1 bila mawasiliano, nilichofanya kosa nikaanza kutembea na rafiki zake ambao kwa idadi wanafika wanne. Drama zote hizi alikuwa akizishuhudia na nyingine kupelekewa taarifa.

Baada ya kufanya upumbavu wote huu, nilirudi nyuma na kujitafakari upya na kuamua kumtafuta na mapenzi yakarudi upya. Kipindi hiki alikuwa kwny mahusiano na Mzee mmoja mume wa mtu ambaye alikuwa akimsaidia katika mahitaji yake.

Tukashauriana tukapime afya zetu, bahati nzuri hatukukutwa na maambukizi, lakini kumbe huyu mwenzangu alipanga afanye revenge pasipo mimi kujua.

Kwanza aliweka utaratibu ambao naweza kusema sio sahihi, yaani yeye atakuwa na yule babu kimaslahi na hata nilipokuwa nawakuta sehemu nilijifanya kama siwajui mpk yule Mzee atakapokuwa ameendoka.

Hali hii ilinisumbua sana hasa ukizingatia wivu ulikuwa juu zaidi, kama hiyo haitoshi hivi majuzi katoa kali, alikuwa anakunywa na Mzee wake, baada ya Mzee kusepa akaja ex wake wa zamani ambaye yupo vzr kifedha.

Baada ya kuona picha ile kiukweli nilizidiwa na wivu na kusababisha ugomvi Mkubwa ambao Kama sio mkono wa Mungu huyu mwanamke angekuwa Marehemu.

Nimekaa nikaona hapana kwa hili lilotokea ngoja nije niombe ushauri kwa wakubwa zangu ambao huenda Wakawa wamepitia kwenye changamoto kama hizi waweze kunishauri haya.

Nimtafute nimuombe radhi maana moyo wangu bado unampenda? Au ni-move on na Maisha yangu? Labda huenda haikuwa ridhki aliyoniandikia Mwenyezi Mungu.

Nipo kwenye hali mbaya. Nakaribisha ushauri na wale ndugu zangu wa matusi na kejeli nawakaribisha pia.

Nawasilisha.
Kaka move on na maisha yako. Hakuna cha kuomba msamaha wala nini. Kama dem mwenyewe umuacha na ndani ya mwezi anatembea na mume wa mtu maanake nini?
Kwanza hajatulia, hapo ukimuuliza future yake hajui anaelekea wapi hajui.
Ni kicheche na hayo ndio maisha yake. So man invest katika maisha yako.. ww move on. Ww bado.kijana una maisha ya kuendelea nayo
 
Asante Kaka kwa ushauri japo Moyo unauma sana
Hakuna aliyesema kuwa itakuwa rahis? An brother you are a codependet. Ww uko radhi umuombeasamaha wkt kosa alifany yeye.

Jikaze, futa namba zake, picha zake, ikilazimika hama mtaa. Usipite maeneo ambayo yatakukumbusha kuhusu yeye.
Now invest maisha yako kwenye kutafuta pesa, tafuta maisha jombaaa.

Nakupa miezi mitatu. Ukiweza vumilia baasi utakuwa umemsahau.
 
Mkuu acha uboya Na ufala wa kijinga, Utakuja kufa wewe kuna watu wengine uvumilivu huwa zero watakupiga Shaba. Endelea na maisha yako mrudie Mola anza kwenda kwenye ibada. Akiri yako itakaa vizuri tu. Na maisha yatakua murua it's just a matter of time
Kweli kabisa Kuna watu hawana uvumilivu ipo siku akamwagiwa tindikali au wazee wenye nazo wakamwendea kwa wahuni wakamla Tigo tena mwanamke mwenyewe hana msimamo ovyoo.

Bora mkuu mwenzetu atulie kivyake akijifanya anajua Sana kupenda ataumia tu.

Nashangaa kazi anayo tena kwamujibu ya yeye mwenyewe ni nzuri na ana mkoko atulie afaidi matunda ya kuangaika kusoma nk.
 
Back
Top Bottom