Hahaha , mashikolo mageni,!
nganga mbofu,,, shida iko wapi mwili Ni wake,!wewe Ni mpangaji tu!!! matumizi umupangie loh!!!
na bado jiandae kisaikolojia
Hali ni mbaya katika hospitali zetu, sio mhimbili tu,,, tatizo ni kujiona hiyo fani ni bora kuliko zingine,,, kitu ambacho sio kweli ,,ni kutojitambua tu ,, na kukosa usimamizi mzuri kutoka kwa uongozi,,, ,,mwaka jana ,,2019, nilikuwa namuuguza baba angu mzazi ,,r.i.p, kaka hospitali moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.