Recent content by nshoma kanike

  1. N

    Hataki kuolewa na bosi wangu, anataka kuolewa na musician

    Wengi naona mnamtetea binti amuache amuache lkn ukweli hakuna mlezi/ mzazi anapenda kuona mwanae/mtu anaemlea anaharibikiwa apo anataka kumsaidia kwa ajili ya future yake sa mkisema amuache cku akiharibikiwa lawama zitarudi kwake Mkuu msaidie huyo dada kumwonyesha maisha yanaendaje cku...
  2. N

    Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

    My friend aliwahi kunishirikisha tena yeye alianza mdogo na hakutaka kuwa na boyfriend zaidi ni porn na baadae nyeto na kila akijitahidi kuacha anajikuta baada ya mda karudia lkn aliponishirikisha nikamwambia ajitahidi kuwa busy na kusali sana kila anapoona hilo liroho linamuijia asali na...
  3. N

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    Mtaita majina yote ila ukweli ckuzote utabaki pale pale na ukweli haupotei big up dimon ata wasipokupigia kwny awards mi ntafanya ivyo
  4. N

    Ana mimba jamaa kamkimbia, je ni sahihi kuwa nae?

    Mmmh ukipenda mtu hutojali anamimba au laah kwan kama utashindwa kumjali wakat wa shida utamjali wakat gani? Watz matter unampenda,anyway fanya maamuzi magumu ila ucpende kutumia sana ushauri wa humu ndani.
  5. N

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Ni kweli wasukuma wako poa sana nakubaliana na ww asilimia 95 ila co wote izo asilimia 5 wanamatatizo alaf mpate alielelewa kwenye maadili ya Sundayschool na ameshika dini utakua kama malikia.
  6. N

    Kuliko kuwa na mpenzi, ni bora ninunue changudoa

    Hahahaha msipende kuwekeza sana kwa wadada kwani huwa hawaridhiki hata ukiwanunulia dunia ataona hujafanya lolote, find a woman who loves u and not u love maisha yatakua poa lkn pia unaweza kukeep busy usijihusishe nao but plz ucnunue dadapoa.
  7. N

    Kabla sijaoa nitampima mpenzi wangu bikra mwanzo alafu UKIMWI

    Bikira zipo nyingi tu kaka tafuta ila ukikua ukajua maisha yakoje na hayana formular hautarudia kusema hvyo kila raheri 👀@ bikira bongo!
  8. N

    Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

    Duh mkeo atakua na kidudu kichwan c bure tena na ww unakua km dume bw*g kua na msimamo ckunyingne atawapa kaz hao watu wake wakugeuze na ww.
  9. N

    Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

    Jaman cancer haitoisha bali itaendelea kuongezeka na hainipi any sense kutanua uchi 🙈🙈 mweeeeee
  10. N

    Yaliyonikuta Valentine, mtaka yote kwa pupa hukosa yote

    Rudi kwa babu umwambie ni kaka ako alikua anakufatilia!!!
  11. N

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Alaf sahau tu kasalio kwenye simu hukakuti mm wameshanila kama elfu 5000!! Na vifurushi vimepanda yaan marketing manager atakua kasoma magogoni!
  12. N

    Nimealikwa na mchepuko kwenye harusi yake

    Hahahahaha fimbo iliyomchapa mwanzio naww itakurudia🚶🚶🚶
Back
Top Bottom