Recent content by Nsera Ndawani

  1. Nsera Ndawani

    Tanzia: Mzee Obed Masawe ''Masobe" hatunaye tena

    ROHO YA MAREHEMU IPATE REHEMA KWA MUNGU NA IPUMZIKE KWA AMANI MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI AMINA. Brother Masobe Rest in peace
  2. Nsera Ndawani

    Ndugu zangu Wachagga vikao vya misiba kufanyikia Bar mpaka lini!

    Wachagga wana utaratibu wao, mila na desturi. Kila jambo lina utaratibu wa kulitekeleza kuhusu kufanyia vikao vya mipango ya mazishi bar, huo ni utaratibu wa wachagga na huwa wanafanikisha shughuli zao vizuri. Sasa huyu bwana anataka vikao vifanyikie sehemu tulivu, unataka tukafanyie...
  3. Nsera Ndawani

    Kesi yangu na mama mwenye nyumba wa kichaga

    Hebu kaa naye mkubaliane vizuri. Hilo ni tatizo kidogo sana na huhitaji kupoteza muda wako wa masomo Kwa kuwa ni mtu wa makamu atakuelewa Au pengine anahitaji (kee money) na kama ni kee money hiyo inajulikana lakini dalali alitakiwa kukueleza mapema ukizingatia kuwa wewe ni mwanafunzi na...
  4. Nsera Ndawani

    America kukopa China

    Asante sana kwa kuniongezea ufahamu mkuu
  5. Nsera Ndawani

    America kukopa China

    Asante sana Jibu lako lina mashiko
  6. Nsera Ndawani

    America kukopa China

    Ni sawa tuwangoje wataalam Watusaidie ili tupate ufahamu zaidi
  7. Nsera Ndawani

    America kukopa China

    samahani sana Nina shida ya uelewa kwenye jambo fulani. Nina imani kwa kupitia kwenye hili jukwaa letu tukufu. Ambalo limesheheni mitazamo iliyo na upeo wa kutosha, ninaweza nikapata ufumbuzi. Kwa sasa wataalam wanasema kuwa uchumi wa china unakaribia kuifikia nchi ya marekani. Na...
  8. Nsera Ndawani

    Ningekuwa na uwezo ningeitoa Al Jazeera kwenye DSTV yangu, kila muda Gaza under fire

    pole sana kwa kero unayopata kutoka Aljazeera kama ni kweli unatumia Dstv ambayo inazo channel nyingi ambazo unaweza kuichagua inayokupendeza sioni ni kwa nini uendelee kuteseka kwa kung'ang'ania Aljazeera ambayo huipendi. au DSTV inashika Aljazeera peke yake? mbona inaonesha kama ndiyo channel...
  9. Nsera Ndawani

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    mkuu niko hapa mto wami na nimefika hapa kwa kazi maalumu ya kukuongezea umri na hapa magari ni mengi sana ya kila aina na hapa yanapita taratibu sana kwa hiyo usijali wewe subiria na ujiandae na mbavu kuna hilo limeandikwa [MOTO HAULAMBWI] lingine limeandikwa[MTALAKA HATONGOZWI] lingine hilo...
  10. Nsera Ndawani

    Wana Jamiiforums!! Karibuni Tupande Mlima Kilimanjaro

    tatizo kubwa huwa mara nyingi tunashindwa hata kabla hatujaanza kupanda mlima inawezekana ila kuna changamoto zake kwanza uwe na afya njema pili ufanye maandalizi ni pamoja na kufanya mazoezi uwe na mavazi maalumu ya kupanda mlima uwe na gharama zinazohitajika uwe na MUDA Ndugu...
  11. Nsera Ndawani

    Wana Jamiiforums!! Karibuni Tupande Mlima Kilimanjaro

    Nimefurahia sana hii thread. Kusema kweli mlima Kilimanjaro ni kivutio kikubwa kupita vyote tanzania. Mimi nimebahatika kufika kileleleni kupitia marangu. Niwaeleze kwa kifupi kuhusu vituo unavyopitia kwa kuanzia mlango wa kupandia kule marangu. kutoka marangu unaenda mandara. Km 8 kwa...
  12. Nsera Ndawani

    Msaada wa kupata mkopo

    kama unaishi arusha na unayo dhamana kuna saccos inaitwa WANAMA SACCOS LTD ofisi zao ziko jengo la MEGA COMPELEX mtaa wa BONDENI wanatoa mkopo wa hadi 20,000,000 kitu muhimu wanachoangalia ni security ya mkopo[dhamana] kama document zako zikiwa vizuri unapata mkopo ndani ya saa 3 utaratibu...
  13. Nsera Ndawani

    Malaysian Prime Minister: Flight M 370 Malaysia Plane Crashed Into Indian Ocean

    Malaysia:Ndege ilianguka baharini Waziri mkuu wa Malaysia Najib Razak Shirika la ndege la Malaysia limewaambia jamaa na familia za abiria waliokuwa wanasafiri kwa ndege iliyotoweka MH370 kwamba ndege hiyo imepotea na kwamba hakuna manusura. Tangazo hilo limetolewa kwa familia hizo kwa njia ya...
  14. Nsera Ndawani

    Malaysian Prime Minister: Flight M 370 Malaysia Plane Crashed Into Indian Ocean

    Malaysia:Ndege ilianguka baharini Imebadilishwa: 24 Machi, 2014 - Saa 14:51 GMT Facebook Twitter Google+ Tuma kwa rafiki yako Chapisha Waziri mkuu wa Malaysia Najib Razak Shirika la ndege la Malaysia limewaambia jamaa na familia za abiria waliokuwa wanasafiri kwa ndege iliyotoweka...
  15. Nsera Ndawani

    Chadema na ushindi wa kisayansi

    mkuu kuna habari nyingine umechanganya kilugha. Na kwa bahati mbaya sana lugha uliyotumia iwe ni ya kinyumbani, kwa kiswahili ina maana ambayo inaleta ukakasi, mpaka inaharibu ujumbe wako. Lakini kwa ushauri wa bure ungetumia kiswahili ungeeleweka vizuri. au umeandika kimakosa?
Back
Top Bottom