Now clouds bas mmenifanya nianze kulala saa nne kamili nkiwafukuza na akuna sharfi dauda pamoja na maestro ndo kwanza saa tatu kamili nalala .au mzimu wa mwanadada jadee umeanza kufanya kazi. Me mgen
Muda mbona ni mrefu sana tokea 2005 je huyo zitto alikuwa wapi muda wote hadi anakuja kutoa hzo pumba dc tyme .jaman yatupasa tuwe wafikiliaji jaman watanzania
Pengine maneno ya mtu yanaweza kudhihilisha kupima hisa ya akili yake yakupasa uwe mwelimishaji na sio mtukanaji maneno kama mburura co mahala pake hapa tumia busara kumwelimisha mtu. Alaaaaah
Chadema bwana ukimwaga mboga sie twamwaga ugali wala hata hatuangalii ni vp mtu ana comfidence mbele za watu kama zitto kafanya usaliti ndani ya chama tunapiga chini bora kukaa na watu wachache kuliko kuwa na wengi wenye maneno mazur ya kujitetea wakti wao ndo wauaji wa chama. M4c for rever
Wale wote wanaokubaliana na hzo kodi watakuwa wamekumbatiwa na vigogo uwezi kumtoza mtu 1000kila mwezi wakat analipwa mshahara wa shiling 1500 kwa siku na kuna watu wengne wanatumia vocha ya sh1000 kwa mwez je hv hzo ela wanazopata tcra wanashindwa kulipia kodi za lain zote mbona wanapata ela...
Haya majanga kwel maana zle.local channel zote zikimiliki dekoda zao binafc kama walivyo star tv na continental yao je watanzania tutanunua dekoda ngapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.