Recent content by Nsanya rasheed

  1. N

    Dolla milioni 1 ni sawa na Tsh ngapi?

    nisawa na bill tatu nifedha ya kununulia garia aina ya buggati
  2. N

    Manchester City vs Arsenal - EPL (Dec 14, 2013)

    arsenal ndo goli sita
  3. N

    Uwongo noma

    mnamshauli mtu ameshaanza kumpenda atawaelewa huyo. Anazuga tu.
  4. N

    kwa wanaopenda kujiunga na jkt

    kila mahari wavimba macho wapo na maanisha wasiopenda lolote lile kwa mwingine wakatisha tamaa maneno kwa binadamu kawaida wamezaliwa wanasema.kuto kukata tamaa kwa lile unalolihitaji ni siraha tosha tutaendelea pambana pamoja.
  5. N

    kwa wanaopenda kujiunga na jkt

    nimeongea na mshauri wa mgambo leo hii ameniambia nafasi bado na bado hawajapewa taarifa kuhusu hilo.tuwe na subira nikipata taarifa soon nitaiweka humu coz nina namba ya afisa mshauli mgambo.
  6. N

    Taarifa: Rais Kikwete aagiza bendera kupepea nusu mlingoti kwa siku tatu za maombolezo ya Kitaifa y

    ni ukweli usiopingika kuwa alikuwa mpigania haki za wanadamu na kujitahidi kuondoa mizizi ya ubaguzi wa rangi na kulifanya taifa lake kuwa kitu kimoja.mungu amuweke mahali pema peponi amin
  7. N

    JWTZ mpaka leo imeshindwa kuajiri wasomi wenye vipaji halisi, sababu hizi hapa...

    mkuu uko poa sana unajua nn unachoandika wape darasa
  8. N

    Kenya yampongeza JK kwa hotuba yake bungeni

    vizuri kwa kwenya kuitambua tanzania na kumtuma waziri wake lakini kuwe na nia ya kweli kuimalisha umoja huu.rwanda ndio kila kitu ktk mfarakano ni dhahiri hata katika kuisaidia m23.jumuia ni lazima waitazame zaidi rwanda
  9. N

    kujiunga na jkt

    asanteni kwa wote japo wengine wanabana co mbaya yote maisha
  10. N

    kujiunga na jkt

    lini nafasi zinatoka mwenye kufahamu
Back
Top Bottom