kila mahari wavimba macho wapo na maanisha wasiopenda lolote lile kwa mwingine wakatisha tamaa maneno kwa binadamu kawaida wamezaliwa wanasema.kuto kukata tamaa kwa lile unalolihitaji ni siraha tosha tutaendelea pambana pamoja.
nimeongea na mshauri wa mgambo leo hii ameniambia nafasi bado na bado hawajapewa taarifa kuhusu hilo.tuwe na subira nikipata taarifa soon nitaiweka humu coz nina namba ya afisa mshauli mgambo.
ni ukweli usiopingika kuwa alikuwa mpigania haki za wanadamu na kujitahidi kuondoa mizizi ya ubaguzi wa rangi na kulifanya taifa lake kuwa kitu kimoja.mungu amuweke mahali pema peponi amin
vizuri kwa kwenya kuitambua tanzania na kumtuma waziri wake lakini kuwe na nia ya kweli kuimalisha umoja huu.rwanda ndio kila kitu ktk mfarakano ni dhahiri hata katika kuisaidia m23.jumuia ni lazima waitazame zaidi rwanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.