Recent content by nsanu

  1. N

    Sumaye amgwaya Lowassa!

    Huyu Sumaye ni ********tu, ilo ndio la kuita waandishi wa habari, eti anasema ccm ya Nyerere ndio hii hii ya leo, what a shame, huyu ni Waziri mkuu mstahafu, kweli Tz tunaongozwa na wajinga
  2. N

    Nenda Sumaye, Usiogope! Chomoa mchanga wa chini katika kifusi cha mchanga!

    Ha ha ha ha ha h h kumbe Lema alichana LIVE bila chenga, mmm mamvi noma, sasa makanisani anafataga nini!! Lol
  3. N

    HOJA MBADALA: Tuhamasishe CCM imsimamishe Membe 2015?

    Hivi unaposema hayo maneno hapo ktk red huwa una maana gani? Aaaaaaggggggg
  4. N

    MDAHALO: M4C, Hatima ni Mageuzi au Mapinduzi?

    Leo Pasco umedhungumza, viongozi chadema nondo hizo chukueni.
  5. N

    Wengi bado wanampenda Al Assad huko Syria!

    Assad kama hatang'olewa basi Syria hapatakuja kuwa na amani kwa muongo mrefu, kila nikiiangalia Syria aftr Assad naiona is a new Iraq
  6. N

    CCM yaibwaga CHADEMA katika Umeya jiji la Mwanza

    Mkuu Matola kumbe hili sakata unalifahamu vizuri tu, kwa kukumbisha tajiri aliyedhamini show nzima kufanikisha Jerry kuwa MEYA leo ni Mzee Reginald Mengi, kikao kilifanyika Moven Pick pale, huyu mzee anajifanyaga clean wakati ni mtoa rushwa mkubwa
  7. N

    CHADEMA wasusia Interview ya TBC 1

    Siku nilipomsikia Kamanda Mbowe akitoa tamko la kuisusia TBC ckushangaa coz humu JF tulishasema mara nyingi kuhusu kuisusia hii taasisi hawapo balanced kabisa, taharifa zao zinaandaliwa pale Lumumba
  8. N

    Lowassa apanda chati kuelekea uchaguzi mkuu 2015

    Naona mnapiga ngoma na kucheza wenyewe, mnakubali mgombea wa chama chenu kutoka kaskazini, kwa vyama vingine sio haruhusiwi mgombea wa uraisi kutoka kaskazini? shame on them, sasa mmehanza kucheza kiduku, alafu kumbukeni Lowasa ni mkristo so mahakama ya kazi haiwezi patikana ktk utawala wake
  9. N

    Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

    Hapo ktk red Hon Zitto umezungumza ukweli mtupu, sina cha kuongezea.
  10. N

    CHADEMA NA TANU: Mfanano na Tofauti

    very interesting analysis
  11. N

    Huyu ndiye Freeman Mbowe wa CHADEMA

    Mbowe is next level, pale jangwani alimwambia shibuda yeye Mbowe yupo ktk siasa za upinzani zaidi ya miaka 20 sasa, ambayo sasa matunda yake yameanza kuonekana watanzania kuiamini chadema, so akiwa kama M/Kiti hatoruhusu kirusi ama mamluki yeyote haivuruge chadema, mwacheni shibuda achezee moto"...
  12. N

    GE2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

    Tatizo la Pasco na group lake hawasemi chadema ibadilike nini? anasema vitu kwa mafumbo mafumbo Labda [* Pasco unataka viongozi wa chadema ambao hawajaoa wala kuolewa, basi waoe ama kuolewa kabla ya 2015 kufika? [* Pasco unataka waache kuvaa kombati may be wanawatisha wananchi? [* Pasco...
  13. N

    GE2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

    Kweli humu JF kuna watu ufata mkumbo nimeamini jmushi1, ila tutaendelea kuwabaini rangi zao zote kadri mungu anavyotupa uzima
Back
Top Bottom