Bashite unakwama wapi ulevi wa Maendeleo ni mzuri au ulitaka alewe akapige mkewe, alete fujo kwa wengine au atukane lkn hajafanya hivo kawa na muonekano mzuri kwa watu afu bado unamkandamiza kumbuka Kiongozi Ni kiyoo cha jamii crowd of people they looking for u
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi kiukweli sipingani nawewe maana hata maeneo ya mpanda eneo naliweka kapuuni pale kuna mashimo au lugha rahisi niseme mahandagi Kule chini walihifadhi vitu vingi Sana pindi walipoachia nchi mbaya zaidi baadhi ya mashimo wameweka padlock ambazo hazijawahi funguka hata utumie njia gani dude...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.