Sasa wewe umesema ulienda kutafuta tiba ya kupata mtoto, then wakati unafuatilia tiba kwa mganga ukawa unaishi kwa mfadhili ukampa utelezi ukapata mimba, je hiyo mimba ni matokeo ya tiba au ni kabla hujamaliza dozi ikatiki??
Kama kabla hujamaliza tiba ndo ikatiki basi pengine hukua na tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.