Simba tujiandae kisaikolojia hiyo june 15

Simba tujiandae kisaikolojia hiyo june 15

UBAYA UBWEGE
Ubwege ni kuishia makundi...
Ubaya ubwela umetufikisha fainali ya CAF upo?? Ubaya ubwela umetufikisha fainali ya nbc upo??
Ubwege tumewaachia nyinyi..hatuchezi fc
 
Hatumtaki Mangungu. Mangungu tangu awe Mwenyekiti, hatujawahi kupata ubingwa wa aina yoyote ile. Mangungu ana gundu. Atuachie tu timu yetu. Bora timu isimamiwe na Mzee Kilomoni.
Umemsahau Ahmed Ally.Ana gundu aondoke
 
Ubwege ni kuishia makundi...
Ubaya ubwela umetufikisha fainali ya CAF upo?? Ubaya ubwela umetufikisha fainali ya nbc upo??
Ubwege tumewaachia nyinyi..hatuchezi fc
Wewe utakuwa umevurugwa bila shaka. Fainali ya nbc ndiyo ipi hiyo!!
 
Ubwege ni kuishia makundi...
Ubaya ubwela umetufikisha fainali ya CAF upo?? Ubaya ubwela umetufikisha fainali ya nbc upo??
Ubwege tumewaachia nyinyi..hatuchezi fc
 

Attachments

  • FB_IMG_1745865828426.jpg
    FB_IMG_1745865828426.jpg
    74.7 KB · Views: 13
Back
Top Bottom