1. Muandika proposal haimuhusu kama uta win au la. Nitaandika proposal kulingana na contents ulizonipa sasa jinsi ya kushawishi implementation ni kazi yako.
2. Kwanini tusiandike za kwetu wenyewe - Kwahiyo unataka tuandike za kila mradi ili tufanye wenyewe?? Irrelevant
Not necessary mimi sijawahi kuchungulia mlango wa chuo ila naandika business plans/proposals.
Sasa hivi naandika strategic plan ya taasisi kubwa ya micro-finance
Kila kona ya Tanzania naona watu wengi sana wamefurahia Dkt. Kigwangalla kuachwa katika Baraza la Mawaziri. Walioko kwenye sekta ya utalii wamefurahi sana. Cha ajabu hata ambao hawako kwenye sekta ya utalii wamefurahi pia.
Ndugu yangu Khamisi una suala la kujiuliza ni kwanini watu wengi...
Kuna baadhi ya miwanaume inayopenda kununa inakera sana.
Nilikuwa na boyfriend wangu yani kila ikifika Ijumaa lazima litafute sababu ya kugombana ili linune weekend yote. Unakuta wewe mwenyewe unataka mpalange lenyewe limenuna.
Na nimefanya utafiti wangu nimegundua wanaume wengi wa aina hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.