Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,877
- 3,675
Inshu siyo kununa shida ni sababu hakuna mwanaume anayenuna ila tu anatafuta sababu ya kukuacha kwa sababu amechoshwa na tabia yako maana hata angesemaje huwezi kutii yawezekana mpalange hataki lkn wewe ni kulazimisha tu
Vibomu pia weekend ni kuvuna tu ATM yake lzm atafute namna ya kujinunisha tu ili asitafutwe hahahaha
Vibomu pia weekend ni kuvuna tu ATM yake lzm atafute namna ya kujinunisha tu ili asitafutwe hahahaha