Recent content by not assigned

  1. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeona Kwenye Kudeposit kuna options za Tigopesa na Halopesa.
  2. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu hivi sikuhiz unaweza kuweka hela 1xbet bila kutumia wakala?
  3. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nauliza hivi sikuhizi unaweza kuweka hela 1xbet bila kutumia wakala?
  4. N

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu kudeposit na kuwithdraw 1xbet inakuaje
  5. N

    Soma vitabu au novels, download vitabu au novels kwenye website hii

    Karate Do my way of life by funakoshi... Naomba msaada wakuu hiko kitabu nakitafuta sana bila mafanikio
  6. N

    Top 10 Favourite Books I've Read in 2023 📚 - Frank M Lwakatare

    Karate Do my way of life by funakoshi... Naomba msaada wakuu hiko kitabu nakitafuta sana bila mafanikio
  7. N

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Website gani naweza kudownload fifa 19 au 20 cracked? Nataka kucheza kwenye laptop
  8. N

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Kuna kitabu mwandishi amejaribu kuongelea vyakula jinsi vinavyofanya mtu azeeke, amejaribu pia kukataza matumizi ya sukari. Msaada Kwa ambae amefahamu iko kitabu. Nilikuaga na soft copy ikapotea
  9. N

    China yapinga vikwazo vya US na EU dhidi ya Russia, yasema itaendelea kufanya biashara na Russia

    Nimefuatilia Sana, nimegundua Russia kwa ilipofikia kuanguka ni ngumu. Kutaka kuiangusha Russia ni kutaka kuiangusha Dunia.... Russia ni kama nguzo fulan kubwa Sana inayoishikilia Dunia, ikianguka ni kuanguka kwa Dunia. Kwa ukubwa waliojijengea Russia na USA mpaka sasa haiwezekani zikaanguka...
  10. N

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Nilidownload tu huko Google....Nikita Eng. Labda unisaidie Gcam ya kutumia mkuu
  11. N

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Hata Mimi, naona Camera yangu ya simu inapiga picha Kali kuliko hiyo Gcam. Nahisi kuna settings nazikosea. Ni Oppo Reno5
  12. N

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Wakuu Kama kuna anayeuza oppo Reno 5....naomba contact tuwasiliane
  13. N

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nimekutext mkuu pm
  14. N

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Wakuu nahitaji Redmi note 10. Kama yupo mwenye nayo. au Samsung
Back
Top Bottom