Recent content by Northpal

  1. Northpal

    JamiiForums Tanzania SmartDuka Pro Software: Simamia Biashara Yako / Fuatilia Stock, Mauzo, Matumizi na Faida / Epuka Udanganyifu

    Wakati mnaendelea kutafuta wateja wapya Rai yangu mngejishughulisha pia kuhudumia vizuri wateja tulioshawishika awali kuwa wenu.. kwa kutatua changamoto kadha wa kadha tunazoziripotia kwenu na hata Hamuitikii inavyofaa wala kwa wakati…
  2. Northpal

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa Tsh. Million 15, nahitaji muongozo

    Hongera sana… ikikupendeza siku moja njoo na ushuhuda
  3. Northpal

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa Tsh. Million 15, nahitaji muongozo

    Kwa hii chuma lazima uwe fundi Binamu✌🏾
  4. Northpal

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    Konki sana lkn kwa wengi kukielewa inaweza kuwa ngumu so wapite na The richest man in babylon pia The winners law— Bodo Schäfer.. alafu badala ya kusoma vingine wavirudierudie tu hivi viwili kama Msaafu/biblia
  5. Northpal

    JamiiForums Tanzania Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania

    Ksa kukazia tu ndio maana Wayemen wanakandwa kila uchao
  6. Northpal

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Safi
  7. Northpal

    JamiiForums Tanzania Naomba tuongee UHALISIA kuhusu biashara ya Real Estate kutumia mfano HAI

    Kwamba aendeshe Coaster mbili mwenyewe.😂
  8. Northpal

    JamiiForums Tanzania Viwanja vimebaki vichache sana Mabwepande. Mnaowahi fanyeni haraka

    Na leo wameviondoa kabisa……. Aibu kwelikweli naona aibu mimi!
  9. Northpal

    JamiiForums Tanzania Milioni 70 inatosha kufungua Pharmacy ya jumla jijini Dodoma?

    Mtoa mada ajiadhari nawewe kwani unaweza kumpoteza kwakukusudia au bila kukusudia.. Kama dhamira ikiwa ninkuuza 50M kwa mwezi afu Kariakoo hiyo ni hasara. Lkn pia 70M hata akiwa na jengo lenye miundombinu tayari kwa 70M hawezi kukidhi soko.. sipajui Dododoma lkn napachukulia kama pahala ambapo...
  10. Northpal

    JamiiForums Tanzania Milioni 70 inatosha kufungua Pharmacy ya jumla jijini Dodoma?

    Pesa uliyonayo si nyingi kama utakurupuka
  11. Northpal

    JamiiForums Tanzania Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

    Unaendeleaje mkuu
  12. Northpal

    JamiiForums Tanzania Video: Dereva wa Lori akutwa amekufa kwenye cabin ya gari huko Mukambo

    Kwa kuitizama video, Haiwez kuwa congo hapo, 1.uniform za polisi wa zambia 2. plate number kwenye gari ndogo ni ya Zambia pia 3. Wanasikika wakizungumza Bemba (Ligha ya Zambia) na kiswahili chenye lafudhi hiyo pia kwa baadhi ya wazungumzaji.
Back
Top Bottom