Recent content by NORTHERNIST

  1. NORTHERNIST

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

    Na mimi nasubiri
  2. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Je, wajua utofauti wa England, Great Britain na United Kingdom (UK)?

    Asante kwa Darasa
  3. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ole Ngurumwa: Wajumbe wa Tume ya Taifa ya uchaguzi wajiuzulu ili kupisha wajumbe wapya wa Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi

    hizi ni njaa na kukubali kutumiwa na wazungu tu watanzania hawana muda na nyie sisi tutaendelea kukubaliana na hayo mbadiliko hata kama ni madogo huku tunaendelea kupambana hii ndio sera yetu sisi ACT-Wazalendo
  4. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tunataka kuona msimamo wenu kwa vitendo kuhusu kutoshiriki uchaguzi

    Ni lini hicho kinachoitwa msimamo uliwahi athiri shughuli za serikali? Hii nchi haiongozwi Kwa misimamo au mihemko ya kikundi Fulani Cha watu kinaongozwa Kwa mujibu wa katiba ma Sheria Sasa chadema ni kama hawana Tena hoja walilamika mama akawapa uhuru wa mikutano ya kisiasa lakini hatuoni Cha...
  5. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Kumteua Omary Ramadhani Mapuri kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ni kinyume na Ibara 74(14) na (15)(c) ya Katiba ya Tanzania

    Tuwekee uthibitisho hapa kama huna basi hizi nazo ni propaganda tu
  6. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Omar Ramadhan Mapuri ana umri gani, mbona bado anateuliwa?

    Tunaangalia utendaji kazi wake umri sio tatizo kama anachapa vizuri sisi wananchi tunakwenda nae. Rais atakua ameridhika na utendaji wake ndio maana akamuongezea Muda
  7. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania UCHAGUZI 2025: Nitapiga Kura na Kuilinda

    Nijuavyo mimi wakati wa uchaguzi tume ya uchaguzi huwa inatoa matokeo yote kituoni kwa kubandika fomu ya matokeo pale pale kituoni lakini haiwezi kutangaza mshindi hadi majumuisho ya kura zote kufanyika kufanyika ndipo inamtangaza mshindi. sasa sijui wewe unamaanisha kuwa utakua unalinda kura gani?
  8. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Arusha Ushoga na Usagaji umeshamiri hadi Bar za kuuza mashoga zipo

    Yani wewe kwa kuwa binamu yako ni shoga ndio una-generalize kuwa kuna ushoga kwa kiasi hicho? mchukue binamu yako deal nae Arusha haiko hivyo
  9. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Urusi na Ukraine: Kwanini uongo unaonekana kuwa na nguvu kuliko uhalisia?

    Huu sio uchambuzi ulichokifanya na wewe umeamua kuonesha upande wako kwa hiyo usianze kutupangia na sisi cha kuandika kwa kujiona kama una facts sana kumbe hakuna lolote jipya hapa
  10. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Baada ya Uhuru, Tanzania imewahi kuwa na uchaguzi mkuu HURU na HAKI?

    Tafsiri nyepesi sana ya uchaguzi huru na ahaki ni amani inayotawala baada ya chaguzi zetu, Kila baada ya chaguzi zetu maisha juwa yanaendelea kama kawaida.
  11. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Video ya mfungwa wa vita akikatwa kichwa na wanajeshi wa Urusi

    Hiyo video ipo wapi?
  12. NORTHERNIST

    JamiiForums Tanzania Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

    MNAAANZAGA HIVI HIVI KUELEKEA KWENYE SURGERY
Back
Top Bottom