Recent content by nonino

  1. nonino

    Aliniambia mtoto kafariki kumbe yupo hai

    Nahisi We baba si mtu wa kufikiri mambo kwa kina, - mtoto mwenye miaka 20, hujawahi kumuhudumia kwa lolote na wala hamjawahi kuonana akuone ghafla tu, kisha akubali anataka kwenda kwa baba yake kirahisi tu namna hiyo na wewe unaamini huyu mtoto anakupenda? Labda kama hii ni hadithi. - kama hii...
  2. nonino

    The One World Govt/New World Order: Is this thing for real?

    The New World Order Is this scheme to establish a New World Order in fact a reality? Yes it is. If you do not believe this I encourage you to study the United Nations documents and also the treaties which, once ratified by individual nations, become INTERNATIONAL LAW. The United Nations created...
  3. nonino

    Mwanasayansi ya jamii VS mwanasheria

    Kuna mwanasheria mdada mmoja, anataka ktk familia nzuri tu kifedha na kielimu. Huyu mwanasheria umeenda kidogo ila akawa hajaolewa, bi huyu akaanza mahusiano na mume wa mtu, mkewe huyo baba kipindi hicho alikuwa mwaka wa pili pale mlimani akisoma sayansi ya jamii. Huyu binti mwana sayansi ya...
  4. nonino

    Stop the excuses

    Source: LIFE BLOG WEDNESDAY, FEBRUARY 27, 2013 STOP THE EXCUSES! 'STOP THE EXCUSES', this is the book by Dr. Wayne W. Dyer. It's about how to change lifelong thought or self defeating thinking patterns ( you can call them excuses) that prevent you from living the life you wants. For...
  5. nonino

    Send Mwl J.nyerere's quotes to these websites

    Find the famous quotes you need, ThinkExist.com Quotations. and Quotes and Sayings - Search Quotes Mwalimu Julius K Nyerere Quotes Showing search results for Mwalimu Julius K Nyerere. Related topics: No Related Topics Note: These are the closest results we could find to match your search...
  6. nonino

    Are you a workaholic?

    SUNDAY, FEBRUARY 17, 2013 WORKAHOLIC (WORK ADDICTION) Workaholic is a person who is addicted to work, S/he puts work before personal life. The addiction is so consuming it prevents a workaholic from maintaining healthy interpersonal relationship, outside interests, and even caring for...
  7. nonino

    Valentine day yangu imeharibika wana jamii naomba msaada wenu

    TUESDAY, JANUARY 22, 2013 'WHATS IS LOVE'? Was the most searched phrase on google in 2012. Why people are looking for, answers, meaning and definition about love? I believe , if you ask many people , with different ( colour, age, professional, religion, etc), this question , what...
  8. nonino

    kuna upendo hapo??

    Kasome kuhusu ,mapenzi ni nini? wisemessages.blogspot.com
  9. nonino

    Ndio maana nawapenda wanaume wa kikurya

    Hayo Ndio yaliyo Kuwa manenoya Jirani yetu,baada ya kutoka kazini siku chache zilizopita.Mara nyingi anatusimuliaga ofisini kwao Kuwa human resources manager ni mkorofi sana,ni mwanamke hy manager,mnyanyasaji,Mara nyingi anatumia lugha chafu sn anapoongea na wafanyakazi, sababu tu kampuni ni ya...
  10. nonino

    Huyu mwanamke simuelewi

    Mwambie ukweli, mambo ya college yaishie college,geto kwako umuhitaji
  11. nonino

    Huyu mwanamke simuelewi

    Mwambie ukweli, mambo ya college yaishie college,veto kwako umuhitaji
  12. nonino

    Jinsi ya Kuacha ku-'Cheat' Mwenzi wako...

    Thanks,mwenye masikio na asikie
  13. nonino

    Kuna ugonjwa wa kupenda kutongozwa jamani

    Nilihudhuria semina ya vijana kuhusu mahusiano na ndoa kanisani kwetu,mwezeshaji katika kufundisha akaongela issue ya mdada mmoja ameolewa,lakini anasema yeye anapenda sana kutongozwa na wanaume sio kwamba anawakubalia ili anajisikia raha wanaume wanapomfata na kumtongoza,akikaa wiki hajatokea...
  14. nonino

    Nampenda huyu kaka

    1.fanya utafiti ujue ni mtu wa mtazamo gani ,nini anapenda na nini apendi,anapenda mwanamke wa aina gani kuanzia (umbo, tabia ,dini na vinginevyo),nk 2.linganisha interests/hobbies zenu zinaendana 3.ukiona 1 &2 viko ok anza kuwa secret admirer online(facebook,email,),ukiona mambo yanaenda vizuri...
  15. nonino

    2012 mwaka mbaya kwa bongo movie

    Kajala yuko jela Kanumba marehemu Lulu jela Sajuki anaumwa Aunt ezekiel kaibiwa Uwoya ndoa hana Na wengineo wenye matatizo wataje, Mungu awasaidie.
Back
Top Bottom