Jamani ni muda umepita ndangu nilipopenda mwanzoni now yapata taklibani 3yrs sijawahi hisi kupenda tena,but now nahisi kumpenda mkaka kiasi nikimuona nasikia raha,sitamani haondoke,natamani aniambie chochote nimfanyie,natamani kumuanza naogopa pengine anahisia zozote juu yangu,Naomba mnisaidie namna ya kumpata huyu jamaa au haweze kunitamkia anipenda. Nampenda sana kiasi nikilala lazima kwanza nimuweze ndio napata usingizi please wana JF nisaidieni niondokane na hili tatizo.
muulize kama anaenda chapati
halafu mpikie umpelekee