Recent content by Nominomi

  1. N

    Maneno ya kejeli ya mume wangu

    Msihangaike na pepo. Binadamu hawezi kuwa hivyo.
  2. N

    Baada ya kutendwa, uliweza kupenda tena kwa kiwango cha juu zaidi ya kile cha awali?

    Kuumia ni kuumia tu haijalishi wa kwanza wala wa mwisho unatoka na na kiwango ulichompenda mtu. Ila nimegundua hata niumizwe vipi nikipenda napenda.
  3. N

    Every man has “man-up” moments

    Ndo hivyo u man-up uelewe
  4. N

    Read between the lines; single lady 30's inakuhusu

    Mh huyu nae sijui kala maharage ya wapi huyu!
  5. N

    Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

    He! Wewe wa ajabu humthamini mdogo wako hata kidogo! Wewe ulikuwa na uhakika gani kuwa atamuoa kweli. We hujui ndio Gia ya wengi siku hizi?? Unaboa...
  6. N

    Mke wangu hataki kufanya tendo la ndoa

    Jamani msimsakame mtoa mada ni kweli kuna baadhi ya watu wanamaumbile makubwa kiasi wewe mwanamke anakufanya ufikirie mara mbili mbili kusex nae mimi ilishanitokea hiyo ikabidi nimwache huyo kaka japo sikutaka kumwambia sababu. Watu wanatoa mifano ya watoto kumbukeni wakati wa kujifungua na...
  7. N

    Umesharudia matapishi mara ngapi?

    Yaani kabisa Wanasema never say never zimwi likujualo...
  8. N

    Umesharudia matapishi mara ngapi?

    Tusidanganyane mapenzi hayana formula kama mmefika wote mkatambua mapungufu yenu why not, inategemea na kilichopelekea mkaachana. Kama nimeona mapungufu yake yanaweza kuvumilika isee nitarudia tu hayo matapishi. Usiishi kwa kumuiga Jirani kila mahusiano ni ya kipekee
  9. N

    Dhibiti muda anaospend mumeo kwa small house...

    Ah kwani kaoa afande, Mapenzi ni hiari kama yeye hawezi kuniheshimu basi, yanini kunyimana pumzi? Aende akafanye atakayo ila mwisho wa siku akumbuke ana mke home
  10. N

    Kwanini baadhi ya kina dada hupenda wanaume makatili na kudharau wapole?

    Hahaa sio mara zote vingine huwa tunalia ukweli
  11. N

    Kwanini baadhi ya kina dada hupenda wanaume makatili na kudharau wapole?

    We hapo sasa atakuwa anachemsha uanaume wake utakuwa wapi? Anatakiwa anitie adabu hilo tena la kuuliza? Nikichepuka anilaumu?
  12. N

    Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

    Hiyo ni moja ya makucha yake ni katili, wa hivyo anaweza kuchinja mtu isee. Mwambie utafikiria halafu unyamaze jumla uone kama atakuacha. Mwache alie wee atanyamaza. Ila pia usiache kumuonya huyo binti awe makini nae, anaweza kumdhuru
  13. N

    Kwanini baadhi ya kina dada hupenda wanaume makatili na kudharau wapole?

    Aah mimi kwakweli napenda mwanaume strict kuna raha yake. Maana inaweza kuwa baby sijui nataka niende ,,,,, ana jibu sitaki! Basi nitabembeleza wee naambiwa nusu saa! ila usinipige tu maana sijawahi. Ukiwa mpole sana nitakusumbua maana nitakuwa natibua viugomvi tu ili nione umekasirika
  14. N

    Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

    Msanii Mwambie aweke kiapo kuwa mwanae akikosea hivyo nae abakwe. Mmh una muda gani na huyo mkeo? Nakushauri ishi nae kwa akili
  15. N

    Yamenikuta: Mchepuko umetibua ndoa

    Wewe unawaza polisi tu!!! Huwazi kuwa kesho mwanao anaweza kufanyiwa hivyo? Una uhakika gani kuwa watoto wako watakuwa waadilifu isee hapo huna mke! Ameshindwa kutumia busara
Back
Top Bottom