Umesharudia matapishi mara ngapi?

Umesharudia matapishi mara ngapi?

je kama tunakumbushia tu bakurutu kimtindo ntakua mbulula bado??? Preta msaada tutani hebu nidadavulie mi ni mbulula au dearest bakurutu

Wala sio umbulula shostito........kuna mtu anakuchezesha sebene hata ukifa........bado utakumbuka ukiwa kaburini........
wacha niishie hapo kwa leo.........
 
Tusidanganyane mapenzi hayana formula kama mmefika wote mkatambua mapungufu yenu why not, inategemea na kilichopelekea mkaachana. Kama nimeona mapungufu yake yanaweza kuvumilika isee nitarudia tu hayo matapishi. Usiishi kwa kumuiga Jirani kila mahusiano ni ya kipekee

ki ukwel naamin si mahusiano yakiisha yameisha!! na isitoshe ndo maana ya msamaha! kama mtu kagundua kwamba unamfaa, achalia mbali sababu zilizomuondoa why not? kama ulimfuma sawa, lakn bado unaweza onesha nguvu ya msamaha, isitoshe karud mwenyewe tena kwa kumaanisha na step za mbele zaid!! no nampokea!!

akionesha na mchozi ndo kabisa kanimaiza!! ambavo sipend kuona mtu mzima analia!!!
 
ki ukwel naamin si mahusiano yakiisha yameisha!! na isitoshe ndo maana ya msamaha! kama mtu kagundua kwamba unamfaa, achalia mbali sababu zilizomuondoa why not? kama ulimfuma sawa, lakn bado unaweza onesha nguvu ya msamaha, isitoshe karud mwenyewe tena kwa kumaanisha na step za mbele zaid!! no nampokea!!

akionesha na mchozi ndo kabisa kanimaiza!! ambavo sipend kuona mtu mzima analia!!!
Yaani kabisa
Wanasema never say never zimwi likujualo...
 
Mimi nilitapika nikayarudia nikayatapika tena na akirudi nayarudia tena.siishi kwa kumuiga fulani. kila mtu anachangamoto zake katika mapenzi.
 
Back
Top Bottom