Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

Hapo ndio nashindwa kuwaelewa wanawake

kaka mtu umeonesha kutomthamini mdogo wako na umeona kazi na hela ndio wadogo zako wa ukweli...dats bullshit!
 
Na huyo binti naye ana mdomo mpana kwani hajawahi kutongozwa? Matangazo ndio yalimponza

Na ni mpana kweli..kama kipenyo cha bahari..mademu wa hivi wanakata sana...kama mtu humtaki ndo umtengenezee bango...mademu wengine uwa wanatafuta kufanywa kitu mbaya wao wenyewe
 
nimesoma hadi mwish...inaonsesha wewe ndo HR uliyeomba mzigo......kumbe k inaitwa mzigo...huogopi kubebeshwa mzigo?
 
Wakuu huyu binti ni mdogo wangu kabisa tumbo moja

Historia yake tangu sekondari hadi chuo naifaham, ana tatizo uhuni I mean kutotulia, angekua binti msafi Wa tabia wala nisingekuja hapa kusema hili

Mtaani mangi Dukani kapewa, Dalali Wa magari kapewa na wajinga wengine wengi

Sasa what is her logic?
 
Unamuangamiza mdogo wako huku unaangalia ajabu hii
 
Nliamua kwenda kazini kwake kujua kwa nn hakua confirmed ndipo nikapata hizi taarifa kutoka kwa wenzie ila hr anañikwepa hadi Leo ila Mimi sina big nae
 
Haya nipm namba za dada yako kuna vacancy hapa ofisini kwangu na umwambie kabisa asirudie kosa.
 
Kwa ndg huwez mlaumu hvo Inaonekana umekosa laki ka kila mwezi ulchokua unatarajia pole.
 
Huyo HR Manager naye kilaza au inaonekana naye ZERO DISTANCE au uwezo wa kumshawishi mwanamke ni MDOGO hivyo alitumia madaraka kujinufaisha kimapenzi. Watu kama hao kutafuta mwanamke nje ya boxi ni shida sana kwake.

Lakini kwa upande wa pili kina dada ukitongozwa ina maana jamaa kajieleza moyo wake kwako kama wewe ujisikii kama yeye unamweleza kistaarab na maisha yanaendelea kwa sababu DUNIA YA LEO HAKUNA MAPENZI.

HR Manager hajamkoa ila ameona ni jinsi gani anaishi na mtu ofisi moja akiwa na kinyongo naye, hakuna sababu ya kulalamika lazima ukubaliane na matokeo ya maamuzi yako.

Kaka unakosea kusema mbona kawakubali vibaka mtaani na kumkataa HR, muda mwingine huyo jamaa yako hana HAIBA
 
Wakuu huyu binti ni mdogo wangu kabisa tumbo moja

Historia yake tangu sekondari hadi chuo naifaham, ana tatizo uhuni I mean kutotulia, angekua binti msafi Wa tabia wala nisingekuja hapa kusema hili

Mtaani mangi Dukani kapewa, Dalali Wa magari kapewa na wajinga wengine wengi

Sasa what is her logic?

He! Wewe wa ajabu humthamini mdogo wako hata kidogo! Wewe ulikuwa na uhakika gani kuwa atamuoa kweli. We hujui ndio Gia ya wengi siku hizi?? Unaboa...
 
Wakuu huyu binti ni mdogo wangu kabisa tumbo moja

Historia yake tangu sekondari hadi chuo naifaham, ana tatizo uhuni I mean kutotulia, angekua binti msafi Wa tabia wala nisingekuja hapa kusema hili

Mtaani mangi Dukani kapewa, Dalali Wa magari kapewa na wajinga wengine wengi

Sasa what is her logic?

logic ni kwamba hakutaka kumpa bosa wake mkuu mbona huelewi
 
Yeye aendelee kuwapa madereva bodaboda tu..... Maana kuna vitu vingine ni vya kujiongeza tu yeye hata kanuni ya kujiongeza imemshinda mpaka anamtangaza mwenye hewa...

Kuna ile style wanawake huwa wanaifanya design kama wanakupa mzigo halafu hawakupi...angejaribu hata hyo labda ingerescue kazi yake
 
huyo binti nae wakuropoka inaonekana,kwani yeye wakwanza kutongozwa bwanaa........
 
Wakati mwingine ukitumia logic kutatua mambo ya kijamii huwa ni shida Sana.Jamii haitakuelewa.Hapo Dogo aliharibu kwa kumtangaza

Kabisa binti hakutumia akili, angeuchuna ata na kaka yake asingemwambia!!,binti angetumia mbinu ya kumpiga kalenda, mi na hakika kabisa baada ya kufanya hivyo angefanikiwa kupata hiyo ajira

na baada ya kuipata angekuwa na jeuri ya kumkatalia, maana hr asingeweza kumtoa. Na kama binti angekuwa anapiga vyema hr hakuna ambacho angefanya!!, na kka asingejua, basi tu binti hakuwa anajiamini labda.
 
Kwani umeusahau ule wimbo waliouimba akina Muhidin Ngurumo kuwa Mapenzi kitu ajabu?? yaani Mtu mwenye mkwanja wake anaweza akakataliwa lakini mtu karumbandika km mimi akapewa mzigo kiulainiiiiiiii!!!.
 
Back
Top Bottom