Nimetumia AI, imenipa checklist ya vitu vya kuangalia. Na plan weekend hii nikae na fundi kisha tukague kitu kimoja kimoja, mafundi wengi wanafuata mawazo yao ambayo ni matokeo ya experiance yao. ChatGTP imeniambia nikague vifuatavyo:_
🔎 Engine Rich Condition Diagnostic Checklist
1. Confirm...
Crown. Iliwasha taa, baada ya kufanya diagnosis ikaleta code ya system to rich, wakaniambia pump imekufa, nikanunua mpya na boya lake, bado ikawaka, system to reach, mare bank 1 and bank 2, wakasema petrol chafu, nikashusha tank, nikamwaga petrol chafu, nikaosha na kuweka petrol safi, sikufika...
Naomba Msaada:
Miaka miwili ilopita nililenga Crown online, nikanunua. Baada ya Mwaka Engine ikaknock, nikabadilisha Engine na Gear box at a go. Sasa ni kama mwaka umepita, nimepata kipengele cha check engine, baada ya kufanya diagnosis, ikaleta code ya system to rich. Nimeshatumia zaidi ya 1ml...
Hakuna kitu kigumu Katika haya maisha kama kuwa wise. With age come wisdom. With age, comes regrates for spoiling your life becouse of something/someone whom you thought you can't Live without, and Now you arw Living without him/her.... Sasa ndio unajua kumbe unaweza, ila kidogo umechelewa kujua...
Kuishi wawili sio ishu sana. Sasa kama uwezo wa kufunga ndoa haupo mtafanyaje? Na mpaka mkaishi pamoja it is obvious nyumbani mnajulikana otherwise taarifa zingefika polisi kuwa kuna mtu kapotea.
Mazingira ya sasa yana discourage vijana kuoa maana ndoa ni mitaji. Sasa kama huna hela ufanyaje...
Tatizo sio Mwanamke kujikwamua, tatizo lipo kwetu wanaume. Ukimpenda Mwanamke, haimaanishi ndio awe mtumwa Wako. Kumpenda ni pamoja na kumpa uhuru wa kutumipaji chake. Ni pamoja na kumpa uhuru wa kuwa na uwezo atakao kiuchumi.
Mwanaume lazima u fight kusimamia maisha yako. With or without your...
Sisi Masikini ni mahodari sana wa mapenzi. Tuna invest kwenye mapenzi, wenzetu wame invest kwenye kuishi ndoto zao sisi tunalia lia mapenzi.
Makosa yetu yanatugharimu sana. We should remember Sisi pia tuna mAisha ambayo siku moja yatapimwa kwa yale tulofanya na kuyaishi.
Ukitizama lipo kundi...
Mimi naona akili za kibinadamu ndio zimetawala mawazo yako. Kumbuka limit ni kulingana na uwezo wako. Limitation ni concept ambayo ina exist kwenye kitu chenye udhaifu. Kikichokamilika hakina limits.
Ni sawa na alietengeneza injini ya trekta. By all means kwa mikono yake hawezi kuibeba hiyo injini, hii haimaanishi kashindwa kuitengeneza hiyo injini.
Ni sentensi mbili tafauti. Nimekuelewa sana Mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.