Mpendwa maisha ya uboifrend na ugelofrend ni tofauti na maisha ya ndoa, ugelofrend na uboifrend mara nyingi ni fekelo life ukimwambia Bae nletee chips kuku analeta hata kama ni saa sita usiku, ila ndoani unaeza sema tu nna hamu na chips kuku ukajibiwa "qummmamae"
Hahaha aisee kumbe kuna mengi.
Kwakweli hata aje nani sielewi, Mpendwa kuna wanaume wabinafsi wewe acha tu
Jasho la mwanamke liwe jembamba??? Na kazi ya kuzaa tunagawana?
Wanawake wapo tu wachakarikaji hizo fursa wanazopewa ni kwa sababu ya jinsia zao na ndio mana mwanaume huwezi huwezi jilinganisha na mwanamke kwa mambo mengi. Sasa Mimi napata msaada rahisi ka tiketi niukatae kisa nini? Wanaume siku hizi mambo yenu yamekua magumu na wanawake si lazima wawe Forbes ndo waonekane wachakarikaji .
Na mtazidi sana kupitwa na wanawake mkitaka kujilinganisha labda mjigeuze jinsia mana nyie wabinafsi wakubwa.
Kadiri wanawake wanavyopambana kujikwamua kiuchumi ndivyo ndoa nyingi zinazidi kuingia matatizoni.
Tatizo sio wao kupambana bali problem iko hapa:
Wanapambana kwa madhumuni gani? Wanawake wengi hawapambani kwa maana ya kuwasaidia waume zao [kama Mungu anavyotaka] bali kwa maana ya kutoka kivyao; ndio maana utawasikia wanaongea kauli zao za kiuanaharakati, "Usimtegemee mume", "wanaume hawaaminiki", "bora mwanamke niwe na uchumi wangu n.k".
Kama mume ni kichwa maana yake mke ni kiwiliwili; bahati mbaya ni kwamba macho na ubongo viko kwenye kichwa na sio kiwiliwili.
Kiwiliwili kisipokiamini kichwa "automatic" kitaielekeza miguu kokote na kwa kuwa hakuna macho kuna mawili; mwili(ndoa) kuumia kutokana na kujikwaa ama kufa kabisa kwa kutumbukia shimoni.
Ngoja niwambie; ndoa yeyote ambayo mwanamke amekaa kiuanaharakati uwe na uhakika ilishajifia siku nyingi ama iko njiani kufa na ukiona wanandoa wanaendelea kuishi pamoja basi ujue ni kwa "kujilazimisha".
Sijakutana na mwanamume yeyote duniani ambae anaweza kuishi kwa furaha nyumba moja na mwanamke anaeleta elements za uanaharakati ndani ya ndoa.
Ukiruhusu mwanamke ndani ya ndoa ajione anaweza kusimama bila wewe(mumewe) basi, ujue unacheka na nyani na muda wowote tutakuja tukusanye mabua tukalishie ng'ombe wetu.
Kuishi na mke hakuhitaji DEMOKRASIA, kunahitaji AKILI, ujinga unaofanywa na wanaume wengi siku hizi ni kuruhusu DEMOKRASIA kutawala ndoa badala ya AKILI.
Wewe kama unadhani demokrasia ndio uzungu na mapenzi kwa mkeo, shauri yako; hao wazungu unaowaigilizia ndoa zishawakimbiza siku nyingi.
Ninawaonya mapema ili nisije kusikia eti mtu ananiambia mke aliemtafuta na kumuoa mwenyewe, eti amemshinda.
Nawewe kazi ya kupakia na kupakua mizigo kutoka kwenye malori pale sokoni Kariakoo na Tandale tutagawana?
Ningewashauri tu vijana ambao bado hawana lifetime committments wasipitepite hili jukwaa.
Zimejaa frustration tu na vitisho...
Teha uishie hapo...! Hapo...! Aliyekwambia kuzaa ni kazi nani? Afu ujue hauzai mwenyewe mpaka upate buster..! Na kama kuna mambo mnalalamikia ni kutopata ushirikiano kipindi cha uja uzito na kulea mimba sasa mnapo jidai mnazaa kipo cha ziada mnafanya peke yenu..! Just kupushi katoto na kuchanika nanilii...
According to maandiko, hivo ndivo mgawanyo wa majukumu plus adhabu humo humo "mwanaume atakula kwa jasho" "mwanamke atazaa kwa uchungu" tusiingiliane majukumu aisee
Teh teh..Mpendwa ukijibiwa hivyo ujue we msumbufu sanaMpendwa maisha ya uboifrend na ugelofrend ni tofauti na maisha ya ndoa, ugelofrend na uboifrend mara nyingi ni fekelo life ukimwambia Bae nletee chips kuku analeta hata kama ni saa sita usiku, ila ndoani unaeza sema tu nna hamu na chips kuku ukajibiwa "qummmamae"
Adam aliagizwa atakula kwa jasho siyo kumlisha eva...! Basi na eva angeuliza na mimi nitakulaje...? Maana adam hajaagizwa kumlisha eva wala uchungu wa kuzaa eva ajambiwa atasaidiwa na adam, sasa km ni issue ya adhabu kuwa kubwa eva ndiyo chanzo ya uasi why asiadhobiwe sana ili iwe fundisho kwa wanawake wengine msio wasikive kama wewe Evelyn
Teh teh..Mpendwa ukijibiwa hivyo ujue we msumbufu sana
Ningewashauri tu vijana ambao bado hawana lifetime committments wasipitepite hili jukwaa.
Zimejaa frustration tu na vitisho...
Mpendwa maisha ya uboifrend na ugelofrend ni tofauti na maisha ya ndoa, ugelofrend na uboifrend mara nyingi ni fekelo life ukimwambia Bae nletee chips kuku analeta hata kama ni saa sita usiku, ila ndoani unaeza sema tu nna hamu na chips kuku ukajibiwa "qummmamae"