Nemo kwa wanaume

Nemo kwa wanaume

Mpendwa maisha ya uboifrend na ugelofrend ni tofauti na maisha ya ndoa, ugelofrend na uboifrend mara nyingi ni fekelo life ukimwambia Bae nletee chips kuku analeta hata kama ni saa sita usiku, ila ndoani unaeza sema tu nna hamu na chips kuku ukajibiwa "qummmamae"

Hahaha aisee kumbe kuna mengi.
 
Siku hizi watu wanafanya mchezo wa kulinganisha utafiti na kupiga ramli.

Unawezaje kutoa hitimisho zito bila kuwa na data za kukupa support?

Mie nilishatoa demokrasia na sasa tunakula pensheni!
 
Kwakweli hata aje nani sielewi, Mpendwa kuna wanaume wabinafsi wewe acha tu

Teha uishie hapo...! Hapo...! Aliyekwambia kuzaa ni kazi nani? Afu ujue hauzai mwenyewe mpaka upate buster..! Na kama kuna mambo mnalalamikia ni kutopata ushirikiano kipindi cha uja uzito na kulea mimba sasa mnapo jidai mnazaa kipo cha ziada mnafanya peke yenu..! Just kupushi katoto na kuchanika nanilii...
 
Wanawake wapo tu wachakarikaji hizo fursa wanazopewa ni kwa sababu ya jinsia zao na ndio mana mwanaume huwezi huwezi jilinganisha na mwanamke kwa mambo mengi. Sasa Mimi napata msaada rahisi ka tiketi niukatae kisa nini? Wanaume siku hizi mambo yenu yamekua magumu na wanawake si lazima wawe Forbes ndo waonekane wachakarikaji .
Na mtazidi sana kupitwa na wanawake mkitaka kujilinganisha labda mjigeuze jinsia mana nyie wabinafsi wakubwa.

Haya bidada nikubali tu yaishe maana naona mwenzangu upo full mzuka!
 
Kadiri wanawake wanavyopambana kujikwamua kiuchumi ndivyo ndoa nyingi zinazidi kuingia matatizoni.

Tatizo sio wao kupambana bali problem iko hapa:

Wanapambana kwa madhumuni gani? Wanawake wengi hawapambani kwa maana ya kuwasaidia waume zao [kama Mungu anavyotaka] bali kwa maana ya kutoka kivyao; ndio maana utawasikia wanaongea kauli zao za kiuanaharakati, "Usimtegemee mume", "wanaume hawaaminiki", "bora mwanamke niwe na uchumi wangu n.k".

Kama mume ni kichwa maana yake mke ni kiwiliwili; bahati mbaya ni kwamba macho na ubongo viko kwenye kichwa na sio kiwiliwili.

Kiwiliwili kisipokiamini kichwa "automatic" kitaielekeza miguu kokote na kwa kuwa hakuna macho kuna mawili; mwili(ndoa) kuumia kutokana na kujikwaa ama kufa kabisa kwa kutumbukia shimoni.

Ngoja niwambie; ndoa yeyote ambayo mwanamke amekaa kiuanaharakati uwe na uhakika ilishajifia siku nyingi ama iko njiani kufa na ukiona wanandoa wanaendelea kuishi pamoja basi ujue ni kwa "kujilazimisha".

Sijakutana na mwanamume yeyote duniani ambae anaweza kuishi kwa furaha nyumba moja na mwanamke anaeleta elements za uanaharakati ndani ya ndoa.

Ukiruhusu mwanamke ndani ya ndoa ajione anaweza kusimama bila wewe(mumewe) basi, ujue unacheka na nyani na muda wowote tutakuja tukusanye mabua tukalishie ng'ombe wetu.

Kuishi na mke hakuhitaji DEMOKRASIA, kunahitaji AKILI, ujinga unaofanywa na wanaume wengi siku hizi ni kuruhusu DEMOKRASIA kutawala ndoa badala ya AKILI.

Wewe kama unadhani demokrasia ndio uzungu na mapenzi kwa mkeo, shauri yako; hao wazungu unaowaigilizia ndoa zishawakimbiza siku nyingi.

Ninawaonya mapema ili nisije kusikia eti mtu ananiambia mke aliemtafuta na kumuoa mwenyewe, eti amemshinda.



Tatizo sio Mwanamke kujikwamua, tatizo lipo kwetu wanaume. Ukimpenda Mwanamke, haimaanishi ndio awe mtumwa Wako. Kumpenda ni pamoja na kumpa uhuru wa kutumipaji chake. Ni pamoja na kumpa uhuru wa kuwa na uwezo atakao kiuchumi.

Mwanaume lazima u fight kusimamia maisha yako. With or without your wife and so is her. It is only when you feel week n insecure ndio utaona Mkeo kufanikiwa kutahatarisha Maisha ya ndoa yenu.

Stand still n fight bro. Usitegemee kusaidiwa kiuchumi na Mwanamke. And if it happens then you should know well how to Play.

Maandiko yamesema "Tuishi nao kwa Akili".

So we should.
 
Nawewe kazi ya kupakia na kupakua mizigo kutoka kwenye malori pale sokoni Kariakoo na Tandale tutagawana?

Hiyo Adam alitakiwa ahoji pale kwenye bustani ya Eden kuwa "baba huyu msaidizi wangu atanisaidia na kupakua mizigo tandale"?
 
Ningewashauri tu vijana ambao bado hawana lifetime committments wasipitepite hili jukwaa.

Zimejaa frustration tu na vitisho...

kama uzi ulioletwa mimi naamini umeisha athiri mitizamo
ya baadhi ya watu flani flani kuanzia walipo usoma mpaka sasa.
 
Teha uishie hapo...! Hapo...! Aliyekwambia kuzaa ni kazi nani? Afu ujue hauzai mwenyewe mpaka upate buster..! Na kama kuna mambo mnalalamikia ni kutopata ushirikiano kipindi cha uja uzito na kulea mimba sasa mnapo jidai mnazaa kipo cha ziada mnafanya peke yenu..! Just kupushi katoto na kuchanika nanilii...

According to maandiko, hivo ndivo mgawanyo wa majukumu plus adhabu humo humo "mwanaume atakula kwa jasho" "mwanamke atazaa kwa uchungu" tusiingiliane majukumu aisee
 
According to maandiko, hivo ndivo mgawanyo wa majukumu plus adhabu humo humo "mwanaume atakula kwa jasho" "mwanamke atazaa kwa uchungu" tusiingiliane majukumu aisee

Adam aliagizwa atakula kwa jasho siyo kumlisha eva...! Basi na eva angeuliza na mimi nitakulaje...? Maana adam hajaagizwa kumlisha eva wala uchungu wa kuzaa eva ajambiwa atasaidiwa na adam, sasa km ni issue ya adhabu kuwa kubwa eva ndiyo chanzo ya uasi why asiadhobiwe sana ili iwe fundisho kwa wanawake wengine msio wasikive kama wewe Evelyn
 
Last edited by a moderator:
Mpendwa maisha ya uboifrend na ugelofrend ni tofauti na maisha ya ndoa, ugelofrend na uboifrend mara nyingi ni fekelo life ukimwambia Bae nletee chips kuku analeta hata kama ni saa sita usiku, ila ndoani unaeza sema tu nna hamu na chips kuku ukajibiwa "qummmamae"
Teh teh..Mpendwa ukijibiwa hivyo ujue we msumbufu sana
 
Adam aliagizwa atakula kwa jasho siyo kumlisha eva...! Basi na eva angeuliza na mimi nitakulaje...? Maana adam hajaagizwa kumlisha eva wala uchungu wa kuzaa eva ajambiwa atasaidiwa na adam, sasa km ni issue ya adhabu kuwa kubwa eva ndiyo chanzo ya uasi why asiadhobiwe sana ili iwe fundisho kwa wanawake wengine msio wasikive kama wewe Evelyn

Ha ha ha nmecheka tu eti iwe fundisho kwa wanawake wasio wasikivu kama mie lol, hebu mtafute hela bwana acheni kujiliza liza
 
Last edited by a moderator:
wanawake bhana
kila siku jipya. kutafuta sio tatizo, tatizo ukipata unachotafuta full maringo,thadau majigambo.

mwanafunzi mmoja wa chuo nilimsikia anajisifu mchumba wake anapesa, lkn hapo hapo anasema anatafuta pesa yake apande ndege kwa hela yake. ubinafsi sio kitu kizuri katika maisha ya mahusiano
 
Ningewashauri tu vijana ambao bado hawana lifetime committments wasipitepite hili jukwaa.

Zimejaa frustration tu na vitisho...

Kula like kubwa iliyoshiba...kweli huku full frustration
 
Mwingine huku mke wa mtu,katoa papuchi kapanda kacheo.Tena hadi kazalishwa nje,ndo uchakalikaji huo!!!!! ajabu
 
Mpendwa maisha ya uboifrend na ugelofrend ni tofauti na maisha ya ndoa, ugelofrend na uboifrend mara nyingi ni fekelo life ukimwambia Bae nletee chips kuku analeta hata kama ni saa sita usiku, ila ndoani unaeza sema tu nna hamu na chips kuku ukajibiwa "qummmamae"

Hi hii hiiiii........
 
Back
Top Bottom