Imeeleweka lakini kwa wananchi kuna shida pia kielimu.
Maeneo mengi ya viwanda mamlaka za ardhi imedesignate kabisa “INDUSTRIAL AREA” mtu akiona kiwanda kinaanza kujengwa anaenda kujenga nyumba yake mpakani / karibu na kiwanda akiamini ardhi itapanda thamani zaidi kwa sababu ya mradi.
Kama...
Habari za Jioni,
Wengi wenu hampendi madalali, mnaona kama kutoa kodi ya mwezi ni issue, basi msijali, leo mmefikiwa.
Hii app ni ya iOS nimeandika mwenyewe kama hobby, sina team yeyote hivyo anayetaka kujiunga kwenye hii project aseme, maana nina kazi kazi nyingi za kufanya.
Demo video yake...
Cold room moja ndogo hata 10M haifiki, Yani hata wakichangisha kijijini wanaipata.
Huu uzwazwa wa kijamaa wa kutegemea serikali kwenye kila kitu umetufikisha pabaya mno
Wewe unataka references za Qur’an au reference za masheikh?
Maana unasema dini hazikemei, baada ya hapo unasema unataka maneno ya mashekhe - la kwanza naweza kukupa reference nyingi mno, la pili ni matendo ya watu na hilo sihusiki nalo.
Je nikushushie reference au ni uzi wa kupiga kelele tu...
Kasome tena, Dhulma imezungumziwa zaidi kwenye Qur’an kuliko zinaa.
Dhulma iliokuwa kubwa kuliko yote ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu kisha nyingine zinafuata, Na zote zimeelezewa kuindani kwe ye Qur’an.
Soma usisubiri kusimuliwa
Tengeneza kwanza kisha tafuta wafanyakazi na weka masharti unayotaka.
Ulichofanya ni kutaka kunawisha watu mikono kabla hata hujapanda mpunga wa huo wali
Tanzania shida si vyanzo vya maji, ni distribution infrastructure, same na umeme. Central grid ya maji na umeme zina vulnerability kubwa kwa sababu Tanzania ni nchi kubwa.
Leo akitokea mlevi kagonga nguzo kuu Chalinze, wewe wa Mbagala umeme hauna.
Eastern zone nzima water table yake haipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.