Ushauri wa bure kwa serikali,
Ndege nyingi za mashirika ya Uarabuni zimepaki na zinakula hasara kutokana na vita vinavyoendelea, kwa nini msiondoe kodi zenu zenye utitiri mwingi na transit visa fees kisha kualika makampuni haya yaweke hub ya muda hapa Julius Nyerere International Airport?
Tuna...
Yani hapa ni pa kukaza uzi. Hakukuwa na haja ya kujenga sidewalk ikiwa sehemu hizo zote zimegeuka kuwa masoko.
Ni muda wa kurudisha heshima ya miundominu iliyojengwa na pesa za wananchi
Msimbazi ni tatizo, wanafunzi wanakoswa koswa au kuumizwa na bodaboda kwa sababu serikali inaogopa kuumiza hisia za wamachinga.
Kama barabara yote imekuwa sehemu ya biashara hakukuwa na haja ya kujenga barabara.
Tatizo hili Mbagala napo kuanzia Zakhem mpaka unavuka kituo cha mwendokasi ni sawa...
Resources nyingi. Hujaelewa kitu unaingia youtube kuna video 100 za topic yako, Hesabu wanafanya na calculator. Hakuna kitu ambacho utahangaika kukipata. Ukijiongeza kidogo tu una Point 7 nje nje
Miaka mingi sasa kumekuwa na trend kuwa budget bora ya nchi ni ile ambayo inazidi ya mwaka uliopita.
Spending inaongezeka na badala ya makusanyo ya ndani yalioongezeka kutumika kuweka budget isiyotegemea misaada, tunafikiria kuongeza matumizi.
2023/24: TZS 44.4 trillion
2024/25: TZS 49.36...
Queen Victoria alivyopata mjukuu alisema
“WE ARE A GRANDMOTHER”
Tafuta na hiyo ujue namna lugha inavyotumika. Hapo alimaanisha na baraza lake la mawaziri au?
Wewe kubalinattack yako imefeli kwa kukosa kwako elimu.
Soma Uislam kwa nia thabit ya kuongoka utaona ndio dini pekee sahihi duniani
Soma lugha kijana, shida unachoongelea hukijui, basi hata kugoogle kumekushinda?
“Royal we” au “Majestic we” refers to a display of power not quantity. Hata mfalme akiwa peke yake bado atasema “we”. Kama ulikuwa hujui hilo leo umejifunza jambo jipya.
Nenda tena kasome
Haya ndo maandiko yanayotakiwa.
Tunajua reli itakuja kwenda kila mkoa nchini, lakini kila karibu kila kitu kipo imported kwenye mradi huu.
Matrilioni yanaenda nje kwa sababu watanzania tunashindwa kujipanga na kuishia kuwa walalamikaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.