Recent content by Nodus

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ukimtembelea mgonjwa hospitalini kisha akuulize ni saa ngapi, usimwambie

    Kwetu akiomba Bastola ndo tunampiga stop
  2. N

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Unamaliza boma lote kasoro finishing. Naongea kwa experience sio kuotea
  3. N

    JamiiForums Tanzania HOJA Je, kiwanda cha Maranile Group Ltd cha Misugusugu kipo juu ya sheria au kuna watu wamepigwa milungula? Hakikustahili kujengwa kilipo

    Imeeleweka lakini kwa wananchi kuna shida pia kielimu. Maeneo mengi ya viwanda mamlaka za ardhi imedesignate kabisa “INDUSTRIAL AREA” mtu akiona kiwanda kinaanza kujengwa anaenda kujenga nyumba yake mpakani / karibu na kiwanda akiamini ardhi itapanda thamani zaidi kwa sababu ya mradi. Kama...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Wapangaji mnalalamika sana, Nimeamua kutengeneza App ya kukodi moja kwa moja bila Dalali

    App ipo tayari shida ni weekend coder, hii inahitaji manual review ya kila post maana wabongo hawachelewi kuigeuza danguro
  5. N

    JamiiForums Tanzania Wapangaji mnalalamika sana, Nimeamua kutengeneza App ya kukodi moja kwa moja bila Dalali

    Habari za Jioni, Wengi wenu hampendi madalali, mnaona kama kutoa kodi ya mwezi ni issue, basi msijali, leo mmefikiwa. Hii app ni ya iOS nimeandika mwenyewe kama hobby, sina team yeyote hivyo anayetaka kujiunga kwenye hii project aseme, maana nina kazi kazi nyingi za kufanya. Demo video yake...
  6. N

    JamiiForums Tanzania David Silinde: Serikali inajenga 'vyumba vya ubaridi' Rungwe kupunguza upotevu wa zao la Parachichi baada ya kuvunwa

    Cold room moja ndogo hata 10M haifiki, Yani hata wakichangisha kijijini wanaipata. Huu uzwazwa wa kijamaa wa kutegemea serikali kwenye kila kitu umetufikisha pabaya mno
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kama Mungu ni wa haki kwanini udhalimu ni dhambi inayopuuzwa sana kwenye dini kuu mbili?

    Wewe unataka references za Qur’an au reference za masheikh? Maana unasema dini hazikemei, baada ya hapo unasema unataka maneno ya mashekhe - la kwanza naweza kukupa reference nyingi mno, la pili ni matendo ya watu na hilo sihusiki nalo. Je nikushushie reference au ni uzi wa kupiga kelele tu...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kama Mungu ni wa haki kwanini udhalimu ni dhambi inayopuuzwa sana kwenye dini kuu mbili?

    Kasome tena, Dhulma imezungumziwa zaidi kwenye Qur’an kuliko zinaa. Dhulma iliokuwa kubwa kuliko yote ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu kisha nyingine zinafuata, Na zote zimeelezewa kuindani kwe ye Qur’an. Soma usisubiri kusimuliwa
  9. N

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Kupanda kwa mbolea ya ruzuku

    Mbolea (Fertilizer) ni byproduct ya Petroleum refinery. Mafuta yakipanda bei duniani na mbolea lazima ipande
  10. N

    JamiiForums Tanzania Wazol biashara ( billion dollar business)

    Soma hiko, kitakupa pathway ya kufika
  11. N

    JamiiForums Tanzania Hii idea yangu ya biashara ya Bajaji za Umeme mnaionaje?

    Tengeneza kwanza kisha tafuta wafanyakazi na weka masharti unayotaka. Ulichofanya ni kutaka kunawisha watu mikono kabla hata hujapanda mpunga wa huo wali
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ni Kwasababu gani majukwaa ya Uchumi hayapati wachangiaji wengi kwenye nyuzi ukilinganisha na Jukwaa la Mapenzi?

    Kwa sababu kila mtu ana uchi ila si kila mtu ana akili
  13. N

    JamiiForums Tanzania Bwawa la Kidunda kukamilika Desemba 2026

    Tanzania shida si vyanzo vya maji, ni distribution infrastructure, same na umeme. Central grid ya maji na umeme zina vulnerability kubwa kwa sababu Tanzania ni nchi kubwa. Leo akitokea mlevi kagonga nguzo kuu Chalinze, wewe wa Mbagala umeme hauna. Eastern zone nzima water table yake haipo...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ni kosa gani la kifedha ulilofanya ukiwa na miaka 18–25 ambalo bado unalijutia hadi leo?

    Unless ulienda jela, hakuna kosa la kifedha katika miaka hiyo utashindwa kubounce back, hata upoteze bilioni 20
Back
Top Bottom