Sawa utafanya ivyo ila kumbuka watakwambia waandike bei ndogo kwenye risiti ilalf akupunguzie bei apo ameshawapata wengi sana maan watu huwa wanapenda kupunguziwa chakifanya nikuwapa elimu watanzania juu yakudai risiti yenye bei sahihi kwaajili yakuijenga tanzania
Hakutakua na utofauti kama mtu akitumia efd machine na website kwaasababu mwenye bidhaa hiyo ndio ataamua maan yey ndo atajaza bei ya iiyo bizaa hapo ujatatua tena mdo utakua umeongeza tatizo
Rais Samia watanzania wamekupokea na wamekuwa
1: kupandisha mishahara
2: kuendeleza miradi mikubwa
3: kujenga vituo vya afya na madarasa
4:kuleta diplomasia
5: uhuru wa habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.