Rais Samia ni Corporate Leader

Rais Samia ni Corporate Leader

Anakuteua lini kwa huu Uchawa wako wa Kutukuka uliotuonyesha hapa? Miswahili bhana ikishiba Viporo hukosa Akili mno.
Wewe akili zako Bora hata za mbuzi ..

Na bado atawaaibisha Sana walinda legacy
 

Attachments

  • Screenshot_20220613-113709.png
    Screenshot_20220613-113709.png
    143.9 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220612-143651.png
    Screenshot_20220612-143651.png
    132.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220612-133616.png
    Screenshot_20220612-133616.png
    122.1 KB · Views: 11
uwekezajia au kuiuza nchi ya tanganyika kwa mabeberu wa kiarabu?
Unaishi dunia gani wewe?
Mpaka leo unaamini kuna beberu kwenye karne ya 21 chini ya globalization?
Unawaita mabeberu wakija kufungua mashamba hapa nchini watatoka na kibarua huko makwao au watachukua wa hapahapa kwetu?
Mnawaita majina mabaya wakati watuwenu wanamaliza shule hamuwaajir? Wakija na technology siyo faida kwa nchi?
Hawatanunua kuku kutoka kwa babu yako kijiji cha jirani??
 
Nimeuona utofauti wa Rais Samia kwenye suala la Uwekezaji hana mchezo nalo kabisa.

Hapa Oman amekuja na documentary kabisa yenye full presentation ya maeneo ya kuwekeza ana Profile kabisa ya Tanzania.

Kwa Muwekezaji anachagua eneo ambalo linamvutia anakwenda kuwekeza na mambo yanafanyika.

Hana siasa nyingi ni matokeo tu na hivi ndivyo Dunia inavyokwenda.
Kazi kubwa sana kwenye uwekezaji nchi ni tanzania tunaiyona kwako
 
Ameenda kutoa taarifa kwa waarabu wamasai anavyowafukuza waarabu waanze kusomba wanyama vizuri
Endeleza tu hizo story hapo hapo kwenye kijiwe chenu cha kahawa,maisha bora yatakukuta hapo hapo,ila tambua kua watu wenye mawazo ya kijima kama yako ni watu ambao wameshajikatia tamaa,

Wenye macho watakamatia hizo fursa wewe endelea tu kugonga Kahawa na kashata za karanga hapo kijiweni.
 
Endeleza tu hizo story hapo hapo kwenye kijiwe chenu cha kahawa,maisha bora yatakukuta hapo hapo,ila tambua kua watu wenye mawazo ya kijima kama yako ni watu ambao wameshajikatia tamaa,

Wenye macho watakamatia hizo fursa wewe endelea tu kugonga Kahawa na kashata za karanga hapo kijiweni.
Basi maisha yangu ni mazuri sn kama unakiri kuwa naweza kumudu kununua hivyo vitu hakuna neno
 
Tanzania inahitaji Rais na sio CEO wa kampuni.

Si vibaya akafungua kampuni yake sasa ili sisi tutafute Rais wa kutuongoza.
 
Tanzania inahitaji Rais na sio CEO wa kampuni.

Si vibaya akafungua kampuni yake sasa ili sisi tutafute Rais wa kutuongoza.
Unaweza kukuta mtu kama wewe hata kuiongoza familia yako tu ya mke mmoja na mtoto mmoja imekushinda.
 
Back
Top Bottom